Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

Mkuu VERBOSE, naona Seran kashtuka kwamba ulimtega ili ajikwae.

Hebu ngoja nijaribu kuendeleza conversation yenu trying to predict, how it would have ended up:-
👇🏽
Seran: binafsi naweza kuja na nisile wala nisiombe mia yako.
Verbose: huo ni uongo, sio kweli.
Seran: ni kweli, ina maana huamini?
Verbose: ndiyo, mimi siamini.
Seran: basi sema, nifanyaje ili uamini?
Verbose: labda tupange siku twende "outing" pamoja ili nihakikishe kamaa kweli.
Seran: mmmmh! Jamani, outing tena?
Verbose: pick a day, time & a place, ili nkutoe out.
Seran: _________
Verbose: ________
Yeah yeah yeah, hivyo hivyo next ni ushajua nini kinachofuata, sikisemi hapa
 
Mkuu VERBOSE, naona Seran kashtuka kwamba ulimtega ili ajikwae.

Hebu ngoja nijaribu kuendeleza conversation yenu trying to predict, how it would have ended up:-
👇🏽
Seran: binafsi naweza kuja na nisile wala nisiombe mia yako.
Verbose: huo ni uongo, sio kweli.
Seran: ni kweli, ina maana huamini?
Verbose: ndiyo, mimi siamini.
Seran: basi sema, nifanyaje ili uamini?
Verbose: labda tupange siku twende "outing" pamoja ili nihakikishe kama kweli.
Seran: mmmmh! Jamani, outing tena?
Verbose: pick a day, time & a place, ili nkutoe out.
Seran: _________
Verbose: ________
Hana hiyo pesa ya kunitoa out huyo kenge, unampa ujeuri bure tu!
 
Mama yako kwani ni transgender kama na yeye ni Mwanamke yupo kundini sasa kinachokushangaza ni kitu gani?!
 
Back
Top Bottom