Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

Hmm hebu ngoja kwanza, mihogo sawa naweza jikaza coz hata nikiwa mwenyewe naipiga freshy tu😆 ila maji hayo hapana kwakweli..

Uweeh! Hapo umenikosa🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️ 100 in dollars au hizi sh??

Hahah uwii that can never be me! Siwezi aisee may that kind of relationship never relocate me IJN😱 kwanza ninavyovutiwa na wakaka wakimya, tena tuanze kujaziana nzi🤦🏽‍♀️
Eeeheeeeeee unazidi kutoa majibu ya paper 2 ya necta.
Sijui nianze kuwa mkimya? 🤔
 
Hauko serious Kaka
Hivi toka lini mwanaume rijali anakuwa na kelele kama hizi 😃😃😃
 
weeh! Hapo umenikosa🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️ 100 in dollars au hizi sh??
wee si unaona USA ipo vitani, US dollars zote zipo vitani.
Hapa ni Tshs. ndo inayoongelewa hapa
 
wee si unaona USA ipo vitani, US dollars zote zipo vitani.
Hapa ni Tshs. ndo inayoongelewa hapa
Hebu subiri..
0425E5F0-2D25-4CE7-BB3A-CF345FEB9A09.jpeg

100 as in mia?? No please,✋🏾
 
Hmm hebu ngoja kwanza, mihogo sawa naweza jikaza coz hata nikiwa mwenyewe naipiga freshy tu😆 ila maji hayo hapana kwakweli.
Haya maji nitayafanyia filtration na chlorination, usijali... safe kwa kunywa, waulize DAWASA 😎
 
Kweli we Mwanaume uliye timamu unaweza Kuja hadharani kutangaza unatafuta mke wa kuoa? Hebu kuwa timamu basi
Kwani nyie jamaa wenye vitick kwenye majina yenu huwa ni alama za ushoga au nini mbona hamnaga akili wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom