Frem ipo Mwanza Mjini mtaa wa Uhuru Dampo.. karibu kabisa na stand ya dampo.
Ukubwa mita 3 kwa 2.5
Unaweza kuitumia kwa matumizi ya biashara au kutunzia mizigo.
Haina dalali, piga simu: 0681439977
Nilidhani utafurahi kwa ajili ya rafiki yako, ila nadhani haukua rafiki..kama ni rafik yako siuseme nae akuoneshe njia. Acha kulalamika lalamika talk to him and he will show you the way unless hamkua marafik mlikua mnazuga tu
Gonga kwenye chanzo.
Unajua chanzo cha unachotaka?
Gari, mke, ridhki, n.k
Chanzo hakipo karibu yako, mana ukaribu pia ni utengano. Chanzo kipo ndani yako, hapo hamna utengano.
Anayejua chanzo na namna ya kukitumia chanzo haoni wivu, gubu wala manung'uniko ya et fulani kapata.. fulani katumia...
Mind of limitations at work.
Wewe ndio tatizo, unahitaji msaada wa kisaikolojia na kiroho.
Mana una amini katika uhaba, nafsi yako inakinzana na concept of abundance. Na nahakika hata kwenye maisha yako unapambana na uhaba bila kujua wewe ndio muumbaji wa uhaba huo.
Watu wapate zaidi na...
Nina Bsc. in Agricultural Economics & Agribusiness.
Nina uzoefu wa miaka 4 katika:-
• Mauzo na Masoko (Sales and Marketing)
• Utawala (Management & Administration)
Nipo tayari kufanya kazi katika nafasi yeyote na kujifunza kwa haraka.
Wilaya yeyote katika MKOA WA SIMIYU.
Ahsante.
Simu...
Powertillers zapatikana Dodoma, Kibaigwa.
Zipo za China na Japan,
Uwezo wa 15HP na 16HP.
Utapata ikiwa complete, yani pamoja na jembe, rotaveta, tela, matairi ya ziada ya chuma na spana zote.
Mawasiliano:
0685199512
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.