Tayomist
Member
- Apr 24, 2015
- 21
- 29
Kuna fremu Mwanza Mjini Eneo la Dampo karibu na stand ya Dampo.Iko sehem gan?!
Ukubwa mita 3×2.5
Karibu.
0681439977
Kuna fremu Mwanza Mjini Eneo la Dampo karibu na stand ya Dampo.Iko sehem gan?!
sio bangi mkuuNi biashara ya bangi?
Ni biashara gani sasa.sio bangi mkuu
samahan mkuuNi biashara gani sasa.
Unauza biashara yenye faida kubwa namna hiyo? Unahama nchi au?kwa yule mwenye uhitaji wa frem ya biashara ipo nyingine hapa mwanza mjini kati.. KUBWA KUBWA na iko barabaran
** iko prime area
** main road ( barabara kuu)
** mjini kati
biashara iliyopo ni nzuri,, kipato chake ( faida ) kwa mwezi ni kuanzia milioni 2.5 hadi 3.5
ina biashara tayari
kodi imebaki miezi 6 kasoro
BEI YA KUCHUKUA HII FREM NA BIASHARA YAKE NI 17.5M
hiyo bei ni moja kwa moja na kodi yake...ila mkatana ukiisha baada aa hiyo miezi sita kasoro utaendelea kulipa kodi kama kawaida kwa mwenye nyumba
kwa mwenye uhitaji wa haraka nitafute whatsapp 0744597493
nitafute whatsapp nikutumie videos za hiyo frem
au kama unaweza kufika nitafute nikupe videos then nikuelekeze ukague mwenyewe
hapana Mkuu nahamia mkoa mwingine kupanuka zaidi kibiasharaUnauza biashara yenye faida kubwa namna hiyo? Unahama nchi au?
Mkuu ushapata mteja tayari?biashara
bado mkuu..karibuMkuu ushapata mteja tayari?
Asante mkuu, frem ipo maeneo gan? Au ngoja nkucheck watsappbado mkuu..karibu