KAKA YAKO NAPITA
JF-Expert Member
- May 16, 2014
- 1,322
- 233
"Ukishaitwa DUCE, U/wa Taifa, IFM, UDSM ujue written inahusika. Kwani ukumbi wa ofisi zao hauwezi kutosha kuwa - accomodate wote
kama ni written kwanin wanasema watu waende na vyeti vyao origino? kwa ajili ya nini?! mi nafikir kitambulisho pekee kinatosha kabisa km ni written interview