Nahitaji kujua bei ya POWER TILA mpya kwa sasa

shinji

JF-Expert Member
Aug 31, 2013
256
170
Wakuu,
Nina mpango wa kununua power tila mpya kabisa hivyo naomba msaada kwa wanaojua bei yake.
Nipo Dodoma, inahitajika haraka iwezekanavyo.
Natanguliza shukrani
 
wakuu,
nina mpango wa kununua power tila mpya kabisa hivyo naomba msaada kwa wanaojua bei yake.
Nipo dodoma, inahitajika haraka iwezekanavyo.
Natanguliza shukrani





ingia kwenye alibaba afu check bei zake mle afu import it simple sana vifaa vya kilimo mara nying pale bandarini ni free au vina exemption fulani bana usiogope nenda tra ulizia kama iyo tracta ndogo ina kodi kiasi gani
 
Wakuu,
Nina mpango wa kununua power tila mpya kabisa hivyo naomba msaada kwa wanaojua bei yake.
Nipo Dodoma, inahitajika haraka iwezekanavyo.
Natanguliza shukrani

Kama bado hujapata nenda kwenye maonesho ya china kachukue moja nimeona inauzwa milioni tano. Ukihitaji msaada wa kununuliwa na kuletewa mpaka dodoma tafadhali nijulishe.
 
Powertillers zapatikana Dodoma, Kibaigwa.

Zipo za China na Japan,
Uwezo wa 15HP na 16HP.

Utapata ikiwa complete, yani pamoja na jembe, rotaveta, tela, matairi ya ziada ya chuma na spana zote.

Mawasiliano:
0685199512
 
Back
Top Bottom