Hakika Maandiko Yote Matakatifu Huchukia Waovu Ila Kwasasa Nashangaa Watu Wanavyoweza Mtukuza Mdhambi Pasipo Kutubu Na Wanaaminishwa Tu Kwakuwa Wana Fikra Finyu Na Upeo Mdogo Wanaamini Pasipo Kuwa Na Maswali Changa Kama Ukishindwa Kuwaongoza Watoto 3 Utaweza Kuwaongoza Watoto Kumi?Inashangaza...
Hakika Maandiko Yote Matakatifu Huchukia Waovu Ila Kwasasa Nashangaa Watu Wanavyoweza Mtukuza Mdhambi Pasipo Kutubu Na Wanaaminishwa Tu Kwakuwa Wana Fikra Finyu Na Upeo Mdogo Wanaamini Pasipo Kuwa Na Maswali Changa Kama Ukishindwa Kuwaongoza Watoto 3 Utaweza Kuwaongoza Watoto Kumi?Inashangaza...
Humu Jf Walio Wengi Wana Upeo Mdogo Sana Pia Sio Kwakuwa Hawajaenda Shule Lakini Wengi Wao Licha Ya Kupita Shule Lakini Hawajui Kusoma Ila Wanajua Kuandika Tu,kwani Sifa Za Mtu Anaejua Kusoma Ni Yule Ambae Anauwezo Wa Kuitafakari Habari Na Kuondoa Fikria Zake Na Kuipima Kwa Upande Wa Mwandishi...
Akili sio nywele kwani ingekuwa nywele sidhani kama maneno kama hayo yangeweza postiwa hapa kumtukana mtu asiyekuwa na madhara au kukukwaza wewe, mfaham kuwa Mungu hutuumba na kututafutia riziki kwa namna tofauti tofauti, Sioni shida kwa kijana huyo asiyekuwa na makuu na mtu pia anaishi maisha...
Eti kumridhisha!!!!dah hakuna kitu kama hicho binadamu tunatofautiana unaweza mfanyia kila kitu ila mwenzako akaja na kumchukua kiulahisi so akae kimya tu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mpumbavu pekee ndio anaweza umiza kichwa na kuhoji juu ya jambo hilo ila great thinker wote walishalimaliza kwani zitto alikuwa ha hitajiki ktk familia ya kichademaEndapo ataomba msamaha hakika atakuwa ameuvua uha wake,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sio saratoga tu umesahau pachawake saratoga adventure connection kaka,nilitoka dar saa kumi nambili saa 3 kaamili usiku tayari nilikuwa mwanga kigoma mjini,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Jamani nami ninatatizo kama hilo hilo hapo juu nimepagawa kabisa nimepo kosa troubleshooting humu ndani ktk jukwaa hili mwenye kuwahi tatua tatizo hilo plz atusaidie plz,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Amechumbiwa wapi wewe waKati kapigwa changa ili aweze kutanua mapaja vizuri tU,kama Kweli nani aliemwona????pia hivi flaviani hataki ujiko kweli na kuniambia amefanya private mno hadi mapicha yasionekane????hahahaha wengi huchumbiwa kwa maneno TU si kwamatemndo
Sent from my BlackBerry 8520...
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni the man anajitambua nachokifanya pia ana jua kuimba,kucheza,kuvaa vzuri, na kutawala stage zaidi ya wasanii wote Tanzania
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Facts.kwani mifano kaitoa pili mtaji wa juice ni mdogo ila unawanunuaji wengi ,tatu hata bei ya juice ni ndogo mno kila mtanzania kwasiku anaweza nunua juice.MF. TZ Population=45000000
Price of one bottle let say 200TSHS
45000000x200=90,000,000Tshs.per day.Endapo wote watanunua kwa siku sipo...
Hahah huyu jamaa boya kweli unatwambia ili iweje ??yeye kachinja kutokana na na idadi ya wageni alionao pia mbuzi. 25 mbona ni hela mbuzi tu. Tena huko kijijini kwao??? Hapa dar mbuzi beberu 1 ,ni 50000 .huoni kama ni hela ya kawaida tena asingeweza nunua ngombe mwenye afya
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.