Sishangazwi Na Wezi Kumtetea Mwenzao

Sishangazwi Na Wezi Kumtetea Mwenzao

Tanye

Senior Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
107
Reaction score
18
Hakika Maandiko Yote Matakatifu Huchukia Waovu Ila Kwasasa Nashangaa Watu Wanavyoweza Mtukuza Mdhambi Pasipo Kutubu Na Wanaaminishwa Tu Kwakuwa Wana Fikra Finyu Na Upeo Mdogo Wanaamini Pasipo Kuwa Na Maswali Changa Kama Ukishindwa Kuwaongoza Watoto 3 Utaweza Kuwaongoza Watoto Kumi?Inashangaza Sana,nakulilia Wewe Unaeshabikia Pasipo Kujua Wakitakacho
 
Tanye nakulilia wewe uliyebobea kwenye fikra finyu kwani huyo unayetaka kumtukuza ndiye mdhambi wa dhahiri kwani aliuza nyumba za serikali na nyingine akazigawa kwa watu wake, na ametutia hasara ya mabilioni bada ya kukamata meli kwa mbwembwe na matokeo taifa litalipa fidia. inashangaza, nakulilia tena ewe mwenye fikra finyu..
Hakika Maandiko Yote Matakatifu Huchukia Waovu Ila Kwasasa Nashangaa Watu Wanavyoweza Mtukuza Mdhambi Pasipo Kutubu Na Wanaaminishwa Tu Kwakuwa Wana Fikra Finyu Na Upeo Mdogo Wanaamini Pasipo Kuwa Na Maswali Changa Kama Ukishindwa Kuwaongoza Watoto 3 Utaweza Kuwaongoza Watoto Kumi?Inashangaza Sana,nakulilia Wewe Unaeshabikia Pasipo Kujua Wakitakacho
 
We ndozuzu kabisa hujielewi Lowasa safi waliochota hela za escrow alikuwa Lowasa? We mwenyewe msafi? Hapa Lowasa tu hujatushawishi bado
 
Hakika Maandiko Yote Matakatifu Huchukia Waovu Ila Kwasasa Nashangaa Watu Wanavyoweza Mtukuza Mdhambi Pasipo Kutubu Na Wanaaminishwa Tu Kwakuwa Wana Fikra Finyu Na Upeo Mdogo Wanaamini Pasipo Kuwa Na Maswali Changa Kama Ukishindwa Kuwaongoza Watoto 3 Utaweza Kuwaongoza Watoto Kumi?Inashangaza Sana,nakulilia Wewe Unaeshabikia Pasipo Kujua Wakitakacho

Kuna mtu anayekudanganya kila siku kuwa una fikra pana na upeo mkubwa kiasi kwamba umeanza kumwamini kwamba ni kweli? Mwulize vizuri, majibu utakayopata yatakushangaza.
 
Back
Top Bottom