Mwongeze phantom z naamini hatokuacha kamwe
we shemeji wewe mi labda nikatwe mikono ndo ntaacha kuishika
Mwanangu akirudi mpe mfueni wa kutosha..... kugongewa kunauma axeee
Kuhonga Ni karama na kipaji mtu huzaliwa navyo huwezi kujifunza Tu kuhonga ukubwani angalia usilazimishe fani tuachie wenyewe
Siishi naye. Anaishi kwao. Jana aliniaga anakwenda UDOM kufuata cheti chake. Lakini toka asubuhi hapokei simu. Muda huu ametoka kunitumia text hii.....baby huamini kama nimesafiri? kwenye gari kelele nyingi ndo maana cpokei simu zako. But, kiuhalisia huu ni half time ya mgegedo. Duh, imeniuma siyo siri, mara ya kwanza kuchapiwa. Huwa naacha siyo kuachwa!
Kuhonga Ni karama na kipaji mtu huzaliwa navyo huwezi kujifunza Tu kuhonga ukubwani angalia usilazimishe fani tuachie wenyewe
Pole sana kiongozi... kuna princple moja mwenzio hua naitumia ingawa ni hatari sana ila kiukweli inanifaa.. kwanza usimuamini mwanamke yeyote.. then usiwe na mwanamke mmoja tafuta kama watatu hivi zaidi yake.. na jitahidi kadiri iwezavyo wote wawe wazuri.. ikiwezekana wawe na features kama za huyo umpendae... hapo hutokaa uumie hata siku moja trust me
Kwa hiyo shem ukisikia text imeingia tu wewe kiroho juu.. unajiuliza kama its frm mchepuko..? Huoni huoni unajipa presha za bure..?
shem nipo tayari kupata presha simu ya switihati lazma niishike
Hahahahah.. Mtauna nyie,, mwanaume pesaha ha ha ha haaaaa dunia ina maajabu hii na naamini hayataisha kamwe,kaka kasimu ka 650 tu kanamutoa povu mweeeeh!!hii fani kweli huiwezi tuachie wenyewe!!