Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,364
- 108,507
Tafuta mtaalam anayejua mambo ya computer mwenyewe toshiba ilizima ghafla ikawa haiwaki mpaka utoe betri then urudishe ndo iwake nilivyopeleka kwa fundi tatizo ilikuwa window ikabidi niipige chini now ipo okay
Wabongo mnadanganywa kirahisi sana na mafundi...
Kutokuwaka kwa PC kutoka kwa power button hakuhusiani kabisa na matatizo ya OS...
Kabla OS haijaboot kutoka kwa HDD, kompyuta lazima ianze kwa kuwaka hardwares zote muhimu (hapa ni umeme kwanza), then kunakuwa na self check ya hardwares zote muhimu (hapa bado OS haijaload), halafu mwishoni ndio OS inaload...