Hilo tangazo haliendi sawa na VAT inavyochajiwa. Huu hapa ni ufafanuzi sahihi na nimesha experience mabadiliko haya kwenye benki yangu.
Kama ulikuwa unakatwa shs 1,000 sasa utakatwa kama ifuatavyo:
Makato ya 1,000 hayatabadilika kwa benki.
1,000 = (100% -Vat rate *18%*.)
100%=1,000/82% =...