Jamani jamani hii desturi ya kuchukua sheria mikononi inasikitisha sana kupita maelezo.Halafu serikali ya Kenya inaangalia.
huu unyama sijawhai kuuona toka nizaliwa. Mungu anisaidia, nisianze kuwehuka kwenye ndoto usiku usingizini. mchana kweupeee, sijawahi kuona kabisa. watu kibao wanaangalia, jamani, jamani, hivi kuna selikali huko? pamoja na kwamba sisi wenyewe hapa tuna albino na vizee shinyaga, lakini inauma ati.