Kuna mijitu inanikera mie,hakuna mtu aliyekataa kulipa deni,mbona hapo awali walipokuwa wanakata hyo 8% hakuna aliyelalamika? Tatizo linakuja hyo 15%haipo kwenye mkataba na kama kukata hyo makato yao mapya wangeanza na hawa wa mwaka huu,wakasain mkataba mpya wa hyo 15%.Ifike pahali watanzania...
Heheeeeeeeee. ...hlo jina mi hooiii Mr Paulo christianez makondanizei mweeehhhhhh aka Mr gavanizel huuuuuuhuu c kwa kufoji huku looohhhhh hhhhhaahaaaaaa
Hongera zao wadekezwao hyo mume wangu mie looh hata kujali hana naweza mwambia nataka kitu fulani akakujibu siendi popote kiukweli huwa naumia sana tena sana maana mimba yataka ule upendo binafsi huwa sn madeko ya hapa na pale lkn muda mwengne huwa natamn nipate kubembelezwa na hubby lkn kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.