Recent content by Tanayzer

  1. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    nafikiri habari za kuondoka kwa John Murtough zinaweza kuwa nzuri kama habari za INEOS kuwa na maamuzi ya upande wa masuala ya mpira. Zama zimebadilika sana, uongozi mzuri wa masuala ya mpira unaamua timu isimame wapi.. Ten Hag alifanya vizuri Ajax sababu aliwekewa msingi mzuri ambao yeye...
  2. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu habari yako....mimi naswali hivi unaona kipara tutafika nae nchi ya ahadi?? Je unaona majeruhi na kukosa ubora ni chanzo cha sisi kuwa wabovu namna hii??.. Je kipara ni mtu sahihi?? Wasalam
  3. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sijajua board wanaangalia mpira gani.... so far tumekuwa ovyo kweli.... Timu yetu wachezaji hawasurvive sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji....ila badala tukomae kujenga structure nzuri tunazidi kudidimia Nipo na afya njema Mwenyezi Mungu anasaidia....ni majukumu tu yanabana....pia toka bwana...
  4. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu naona unasukuma gurudumu la matumaini
  5. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nimehakikisha leo Ten Hag hawezi kufanikiwa akiwa na Manchester United..... Sisi ndio timu pekee ambayo tunatafuta mpira alafu tukipata hatujui tupeleke wapi....pattern ya kushambulia hamna kabisa..... Hojlund ni mchezaji mzuri ila anaflop sababu hata kupewa pasi 2 hapewi
  6. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yani mkuu hatuna style ya mpira tunayocheza na sijui hata total football kama ipo hivi... Kuna mtu anaiita haram ball... tunakosa creativity ya kocha kwenye final third ndio maana hatufungi magoli mengi Mda wote unaona kuna nafasi katikati lakini tunacheza side passes zisizo na maana
  7. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wamiliki wanaweza kuwa tatizo, lakini kocha pia ni tatizo mil 400 lakini bado hata hatueleweki tunacheza nini.
  8. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    asie mtu ana Mungu.... Hongera kwake sana...nafikiri msilu ujao atasaidia timu. Kwa masiku huu haiwezekan hata kidogo.
  9. Tanayzer

    Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

    binadamu anaeweza paa hayupo, pia mambo ya Mungu ni rohoni, kuona vitu live kazi kwa maana ukiona hauwezi kuwa sawa tena... Dunia inamengi sana, way back nimewahi umwa pia nikaaga kuwa nakufa na nakumbuka kuna hali ilinipata nikalala sikumbuki chochote lakini nakumbuka niliona wanyama wa ajabu...
  10. Tanayzer

    Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

    Miujiza ni kitu kinachowezekana Kwa wenye haki na wasio haki mkuu....Kwa maana Mungu ananamna yake ya kukutana na watu.... Mimi kipindi muhuni muhuni tu nimewahi kuwaombea wanafunzi hadi wakadondoka na kutapika vitu, pia mimi nimewahi fanya maombi ya uhitaji nikapata milioni 1 Kwa njia ya...
  11. Tanayzer

    Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

    mkuu wapo, maana hatuwezi jihesabia haki, lakini kuna watu wanaishi katika utakatifu ni ngumu lakini wapo....na kingine ni kuishi katika toba maana ndiko kunapopatikana chemchem za uzima... "Ee Mungu, unihurumie, mimi ni mwenye dhambi" ulifanya farisayo apatane na Mungu. Kujinyenyekeza ni...
  12. Tanayzer

    Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

    Nina shuhuda fulani, ni vile tu watu huwa wanahisi hao Simba ni hatari mbele za Mungu Pia tusipende kuona vingi, kuna vitu Mungu anatuepusha navyo bila sisi kuona ni vya hatari na kutisha.
  13. Tanayzer

    Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

    Mkuu kuna kitu kimoja haukijui na wengi hatukijui... Maisha tunayoishi yanatuondolea nguvu alizotupa Yesu Kristo, pia wengi wetu hatujui uwezo uliopo ndani yetu. kwenye Mathayo 17 20-21 kuna sehemu anasema tukiwa na imani kama punje ya haradali tunaweza kuhamisha milima Binadamu tunanguvu...
  14. Tanayzer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    tuseme ukweli....timu umecheza vizuri sana spirit ilikuwa juu sana kwenye mechi ya leo... Makosa yapo eno sehemu ya mchezo ila timu imepambana
  15. Tanayzer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    nahisi ulitumia tigo.....wengi walioweka kupitia tigo wlailumbana na shida hii..... Tigo wamesema haijafika watairudisha saa 24
Back
Top Bottom