Recent content by Taeki-1africa

  1. Taeki-1africa

    Mistari ya kisasa ya kutongoza kwa wale wasio na ujasiri

    Hili ni tatizo kubwa kwa madomo nzege wewe cha kufanya ni kwanza kumsoma tabia yake na vtu anavyopendelea zaid then easy you kill her like chawing babulish
  2. Taeki-1africa

    Tungekuwa na mikoa Mitano (5) kama Mtwara, umasikini wetu ungekuwa historia.

    big up guys from Mtwara aluta contunous no need to giveup
  3. Taeki-1africa

    Sekondari iliyotoa viongozi na watu mashuhuri wengi Tanzania

    mzazi ni KWIRO COMPLEX SCHOOL the biggest school
  4. Taeki-1africa

    Kwa wana wote mhimu sana

    For both BRD takers 1,2 and 3 year i need 2 share with you on issue of futuring of our coz so if you know anything we can share bz im 1year use kiswahili our nation language
  5. Taeki-1africa

    Msiba udom: Mhadhili msaidizi afariki

    poleni sana wanaudom wote kwa msiba uliwakumba
  6. Taeki-1africa

    Hivi ni lipi hasa kosa la Edward Lowasa? Naomba kufahamishwa!

    hii ni tz bwana m2 jana kachakachua pale leo mnampeleka kule achakachue vizuri 4m impossible maybe those blinds ni bola kumpa m2 mke wangu kuliko kumpa nchi Ruasa fisadi mkubwa
  7. Taeki-1africa

    Chuo Kikuu cha Sokoine Morogoro, Hostel ni tatizo!

    oya mkuu njoo TABORA aka bichimatunda ya SUA Utaijoy life full of tours jpange
  8. Taeki-1africa

    Sua sua sua...

    subutu unajifalij 2 kijana ukitaka andamana
  9. Taeki-1africa

    Maoni kuhusu mabadiliko ya katiba

    siku zote siasa ni mchezo mchafu utawezaje kuwambia watu wachangie kuhusu mabadiliko ya katiba wakati sa hata ile ya mwanzo hawaijui wala kuiona kwa watz wengi so how comes?
  10. Taeki-1africa

    Warembo wa SUA mwanipotezea concentration mwenzenu..!!

    Bro take care wamama salima bz ni mengi mno boy kama vp we kula kwa macho tu
  11. Taeki-1africa

    FOR ALL wANA SUA FRESHERS

    Karibuni all 1Year Bichimatunda or ostabei ya sua aka Tabora fulu entertainment,tours za kumwaga,watu wa mbele kibao and many others enjoyable thing njoo jionee mwenyewe wanakoishi maseneta na vigogo wa SUA
  12. Taeki-1africa

    I need help wana sua

    Nimechaguliwa Rural development sijui future yake yaani unakuwa nani na unafanya kazi gani na ktk sector gani nisaidieni
  13. Taeki-1africa

    Msaada wana j

    Naomba msaada jamani hivi ni nn future ya bachelor of rural development yaani unakua nani na unaweza kufanya kazi ktk sector gani?
  14. Taeki-1africa

    "Miss jf 2012" Kura yako ni muhimu sana.

    mkono mtupu haulambwi men NO PHOTO NO VOTE
  15. Taeki-1africa

    Zanzibar hakukaliki; siri nzito yafichuka fedha zatoka Oman na Uingereza

    NDOA INAYODUMU NI ILIYOTOKANA NA MAKUBALIANO BAINA YA WAPENDANAO NA SIO KULAZIMISHWA NA WAZAZI WAO .Hivyo muungano ulifanyika chini ya makubaliano baina ya viongozi wa pande 2 sio wananchi wa Tz na Znz
Back
Top Bottom