Recent content by tabu tabun

  1. tabu tabun

    Reli ya standard gauge ya Rwanda na Tanzania ni kaburi la uchumi wa Tanzania

    Tatizo la wa tz hatuna maono ya mbali.mmoja wapo ww.ungejua huyu mleta hii mada huku anacho ki focus usingemjibu upupuu huu hapa.
  2. tabu tabun

    Eti mweusi tunalaana???? Ndio hivi tumekuwa shitholes??? Lete hoja na ushahidi

    Safii sanaaa mleta mada!,.hzi ndizo mada za kuleta huku siyo zile za kuongelea maisha ya visanii vya ki bongo,vinuka vyupi tuu huku.
  3. tabu tabun

    Mjue Mamba: Kiumbe mwenye uzito wa ajabu

    kweli man hii niliona kwenye clip moja hv nikajua kila mmoja ana m'babe wake!,.then mamba ukisha mtayt mdomo wake tu hana namna.
  4. tabu tabun

    Najuta kuoa mwanamke mlokole

    Duu hawa watu wanaojiita wameokoka ni mashwetani,ninao dada zangu karibia ya wote wameingia huko yani ni shida kuanzia kwa family zao hadi kwa wazazi.then wakisha kua walokole wanakua na roho mbaya na unafki wa kupitiliza..kikubwa fanya maamuz ya kiume ukicheka na nyani utavuna mabua mkuu.huyo...
  5. tabu tabun

    Nahamia Botswana, naomba mawili matatu kuhusu huko

    kama hujaoa ukioa mwanamke wa kule na kuzaa nae sahau kuhusu watoto,kama ikifikia wakat wa kurud tz.utarud mwenyewe tuu watoto ni wa mwanamke.pili kama ww ni mgonga mvinyo jiandae kunoa meno kwani kule kila bar lazima iwe na burcher.ukichukua kimada lazima ukipige nyama ya ukwelii kwanza ndiyo...
  6. tabu tabun

    Arsenal na Manchester City vyawa vilabu tajiri duniani

    Ahsante kwa kuwaelewesha wale wagum wa kuelewa kama wagalatia..Na hii ya club za madrid,man u nk ni wana maden ya kufa mtuu.leo hii ma bank yakiamua kuchukua chao wanabakia kama mbao fc tuu.
  7. tabu tabun

    Mfanyakazi (msaidizi wa nyumbani) ana busara kuliko mke wangu

    ongezea hapo na mwanamke wa kimarangu kakaa.ni balaa hawa .
  8. tabu tabun

    Mfanyakazi (msaidizi wa nyumbani) ana busara kuliko mke wangu

    Kiongoz nimekupenda bure.Na ni hivi ili uitwe mwanamme siyo uwe na cash sana,star au elim nk.Mwanamme kamili ni yule asiye tetereshwa na maamuz yake na asiyepepesa macho kuangalia wanaomzunguka watamchukuliaje.kikubwa simamia unacho kiamini hasa mambo yako ya family. Ni kwambie jambo moja ata...
  9. tabu tabun

    Mfanyakazi (msaidizi wa nyumbani) ana busara kuliko mke wangu

    Na dhambi tuliyo nayo na inayo tutafuna ss hivi wanaume ni kuacha mwanamke kuwa na sauti na utawala ndani ya mji.Na imeandikwa ata mungu hugadhafika mwanamke anapo kua na sauti ndani ya mji.Huyo wa kwako mkuu umesha zidiwa maarifa kumtoa hapo alipo fikia ni ngum labda uwe kidume kweli...
  10. tabu tabun

    Hatimae Polepole awaangukia Maaskofu

    maaskofu vidume ni wale wa congo.wametangano maandamano nnchi nzima.Hawa wakwetu wakiongozwa na yule mwenye sauti ya kinaa....! mda wote,duu mtasubiri sanaa!.
  11. tabu tabun

    Rais Magufuli asema ana taarifa kuna kiasi cha dola bilioni moja zimekamatwa uwanja wa ndege Dsm!

    Hvi wajua dolla bilion moja sawa na tan ngap!?.akili za kuambiwa changanya na za kwako.kuna mwandish mmoja kazifanyia uchambuz vzur kweli.wa tz tusiwe ni watu wa kulishwa matango pori tuu.
  12. tabu tabun

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mimi ninatumia unit chini ya 50kwa mwezi nimeomba wanirudishe raarifu four huuu kwaka ss hivi.wananizungusha tuu..mtanisaidiaje hapa.yani unit moja wananiuzia kwa 360 kama nina kiwanda vile.
  13. tabu tabun

    Kumuoa mwanamke ambaye hajasoma sawa na kumleta mganga wa kienyeji ndani ya nyumba

    Mtoa mada ata kua ni wale wanaopenda kupakatwa.
  14. tabu tabun

    Asante Hillary Clinton na Obama waafrica wanauzwa katika soko huru Libya

    then bado kuna makondoo ya kiafrika bado yawafagilia hawa waarabu.
  15. tabu tabun

    Huyu kijana mchota maji 'kanilia' mke wangu

    ok mungu alikupa maarifa licha ya kuumizwa naye.Kubwa mpotezee yeye na huyo wife wako.
Back
Top Bottom