jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,597
Tumevisoma mkuu, ila sidhani kama ilikuwa njia bora kumuondoa, yale yale ya Iraq, mauaji yanayotokea sasa ni mara 10 zaidi..Wapi na wapi?! Wangewaachia wananchi wenyewe waamue, sivyo hivi..IGaddfi alikuwa mnyama hakufaa kuongoza, kuondolewa Gaddafi kumesababisha nchi iwe ya unyama zaidi kwa sababu kuna power vacuum katika nchi yenye wahuni wengi, watu wa West walitumia mwanya wa ubinadamu kumuondoa Gaddafi kwa sababu zao na Gaddafi aliwapa sababu za halali za kumuondoa kwa ujinga wake wa kusema atawafuatilia wapinzanibwake nyumba hata nyumba kuwafanyia kitu mbaya.
Kusema Gaddafi alikuwa kiongizi mzuri kwa sababu kawalipa watu posho wakati kaua wa Libya kibao ni kutielewa mauaji aliyoyafanya Gaddafi. Gaddafi kaua watu wengibsana Libya. Gaddafi kabsponsor terrorism dunia nzima.
Jamani someni hivyo vitabu ndiyo tuje tujadiliane kwa sababu kwa sasa naona kama najadiliana na mtu ambaye hana habari kamili na anamtetea Gaddafi kwa mahaba tu.