Mjue Mamba: Kiumbe mwenye uzito wa ajabu

Mjue Mamba: Kiumbe mwenye uzito wa ajabu

Si mtoto,ni Mamba mkubwa tu.Ujanja wa mamba ni kwenye maji ya kina kifupi,ili mamba akudake vizuri ni lazima asimike miguu na mkia kwenye tope apate "balance" ya kukuvuta na kukujeruhi.

Kwenye kina kirefu,mamba anakuwa hana nguvu,hivyo mnaweza kuzungushana kama tu una pumzi na unaweza kuogelea.Watu wa ziwa Nyasa,maeneo ya Lituhi,Lihuri na Manda Area hadi Mbaba-Bay wanajua sana kucheza na akila za mamba kwenye kina kirefu,ukienda maeneo ya Ukara huko Ziwa Nyanza hiyo michezo ya kuwakwepa mamba wanaijua sana.

Miaka fulani wakati wa Mwalimu Nyerere,tulipelekwa kisiwa cha Ukara,kule walikuwa wanasemwa kama ni "Wachawi" sana,wanatumia mpaka uchawi wa kukutumia mamba kwenye makarai ya chuma tulikuwa tukiogea zamani.Unaweza ukawa unaoga ukaona mamba ameibuka toka kwenye karai.

Watumishi wakawa hawaendi wakifika Ukerewe wakiambiwa wanapangiwa Ukara,wanaacha kazi.Kule tulienda kufanya "tafiti" ya mazingira ya wenyeji na kwanini wengi wanaogopa kwenda.Ukifika kule utajua jinsi watu wanavyomuona mamba kama kenge tu
Mkuu Ushawahi kufika nyasa ??.
 
Si mtoto,ni Mamba mkubwa tu.Ujanja wa mamba ni kwenye maji ya kina kifupi,ili mamba akudake vizuri ni lazima asimike miguu na mkia kwenye tope apate "balance" ya kukuvuta na kukujeruhi.

Kwenye kina kirefu,mamba anakuwa hana nguvu,hivyo mnaweza kuzungushana kama tu una pumzi na unaweza kuogelea.Watu wa ziwa Nyasa,maeneo ya Lituhi,Lihuri na Manda Area hadi Mbaba-Bay wanajua sana kucheza na akila za mamba kwenye kina kirefu,ukienda maeneo ya Ukara huko Ziwa Nyanza hiyo michezo ya kuwakwepa mamba wanaijua sana.

Miaka fulani wakati wa Mwalimu Nyerere,tulipelekwa kisiwa cha Ukara,kule walikuwa wanasemwa kama ni "Wachawi" sana,wanatumia mpaka uchawi wa kukutumia mamba kwenye makarai ya chuma tulikuwa tukiogea zamani.Unaweza ukawa unaoga ukaona mamba ameibuka toka kwenye karai.

Watumishi wakawa hawaendi wakifika Ukerewe wakiambiwa wanapangiwa Ukara,wanaacha kazi.Kule tulienda kufanya "tafiti" ya mazingira ya wenyeji na kwanini wengi wanaogopa kwenda.Ukifika kule utajua jinsi watu wanavyomuona mamba kama kenge tu

ni kweli maana mm nimezaliwa wilaya mpya ya mbambabay hii uku watu wanaogelea km kawa na mamba hata hawaogopi, kuhusu kina kirefu ni kweli mamba hana ujanja wa kumkamata mtu
 
Mamba na ubabe wake wote hana ujanja kwa chui hata kama yupo kwenye maji chui anammalizia hukohuko!
kweli man hii niliona kwenye clip moja hv nikajua kila mmoja ana m'babe wake!,.then mamba ukisha mtayt mdomo wake tu hana namna.
 
Nikiwa Livingstone niliona Simba jike likitaka kuvuka na watoto wake linaunguruma kwanza harafu yeye ndio anakuwa wa kwanza kufika ufukweni akifika watoto nao wanavuka huku akiendelea kupiga mkwara Mamba anawaogopa Chui na Simba
 
Hehehehehe nipo nipo tu,sema umenigayaa
Haaaaaaaa toka hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usinigeuzie kibao ujue !! Mimi naww nani kamgaya mwenzake ?utanifanya mpaka[emoji116]
bf9eb98791008d83498d5e454bdcfc13.jpg
...

Vipi ,Sabrina Wangu anaendeleaje ?.
 
Back
Top Bottom