Recent content by szarkey

  1. szarkey

    Barabara za Marekani hazilali kwa kuingiza pesa; kwanini tusiige?

    $50 na laki 1 v2 viwil tofaut aise kwao hiyo ni sh 50 ambayo wanaishia kununua pipi na mafuta sas Bongo laki moja c nnaweka Mafuta ya wik kwny passo yang na chenji inarudi.? Na nnanunua chakula cha nguv wiiiiiki nzima tusifananishe tu fedha bila kujua pato la Taifa na hali ya wananchi kiujumla...
  2. szarkey

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Karibu kwny Benchi la sintofaham [emoji23][emoji23] maana angeimba Mpoto tungesema ana Ghani mashairi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. szarkey

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Kuna watu mna picha za ajab kwnye cm zenu humo [emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. szarkey

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Na ndo rekodi pekee aliyoiweka Kiba tang aanze mzik Sent using Jamii Forums mobile app
  5. szarkey

    Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Hahahahaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo sisi team Mond ndo mmeamua kutuita kwaya ya Kijito nyama.? Kubabake Sent using Jamii Forums mobile app
  6. szarkey

    Mrembo maserati interview! Live

    Ungepewa Nafasi aliyonayo Magufuli leo hii Ungefanya kitu gan cha Tofauti.? Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
  7. szarkey

    Mrembo maserati interview! Live

    Kilichonileta hapa ni Picha tu .. Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
  8. szarkey

    Mume wangu amekua na wivu mpaka imekuwa too much

    Kumbeee..? Hebu ntafute huo Uzi [emoji124] [emoji124] na naona atakuw ameshampa sas
  9. szarkey

    Natamani mpenzi wangu achepuke,a 'experience the difference'

    Eeh hii Dunia watu wanakuaga na umama.. Sas ulimtongoza wa nin.? Umerusha mawe weee kutungua Dodo kumbe ulikuw unataka dafu sas Dodo Limeanguka unasema nilikuw silitaki Dodo hili nlikuwa nataka Dafu sas naomba hili Dodo likampate mlaji mwingine, Like serious.? Upuuzi like that ndio unapelekea...
  10. szarkey

    Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

    Mbona mie nliachiwa mtoto wa Miezi 6 Kisa mamaake amepata Dili la kazi Uarabuni na Mwisho wa siku haikuwa Dili bali ni Mwanaume wake wa Zaman alirudi kupasha Kiporo.. Sasa na sisi Wanaume tukamlilie nani.? Au na sie Tutoe laana kwa wakina dada/mama wenye matendo haya.? Hili Tatizo lipo kwa...
  11. szarkey

    Wanaume mnasababisha tuwe wanene, Mungu anawaona!

    My point Exactly [emoji1] [emoji1] mkinenepa jaribun kumtembelea Fettylicious kiboko ya Vitambi msitupe lawama
  12. szarkey

    Anatafuta kazi

    Bangi sio Mutura madam.. we ushawah kuuza.?
  13. szarkey

    Wanaume mnasababisha tuwe wanene, Mungu anawaona!

    Uroho wenu wenyew mkasingizie wanaume kweli.? Kwan unapo karibishiwa na ukasema tu Ahsante na ukavunga utarogwa.? Kupungua ubonge nyanya kwanza ukate roho ya Tamaa usiwe mama kula kula, ushaletewa sambusa, soseji na nin cjui haya supu ya nin.? Lunch ushakula na mdosi hyo noon sas hyo alasiri...
  14. szarkey

    Mange awalipua wauza unga

    Bado cjaona Ushahid hapo ni Fununu tu, Hivi na mie nikitajwa hapo it means nauza Sembe.? Toa vielelezo na Ushahidi then ripoti Interpol coz tatzo la madawa lina affect Dunia nzima hivyo akiwa na vielelezo juu ya watajwa hapo juu basi upelelezi utaanza kuanzia wanapotoa mzigo ili mizizi ikatwe na...
  15. szarkey

    Kiba abeba tuzo ya video bora soundcity Nigeria

    Aaah sana kile mitume na zama zake bhana.. Maradonna za magoli ya Mkono na timu aliyochezea ilikuw na wachezaj waliojituma na uchungu na timu yao sio hii ya sasa kila kitu wanasubir Ronaldo atafanya nin hivyo inakuw rahis kutwaa vikombe kama ananywea chai..
Back
Top Bottom