Lema Ni yule yule atasema ukweli bila kuogopa Na hamna atakaemdhuru sku Mungu akiamua kumchukua atamchukua yeye Na si binadam. Na kasema anawaraka kwa rais Nausubiri. Huyo ndo lema original.
Mwanamke akipenda anapenda kweli Na akiumizwa anaumia sana, lakini atalia wee atanyamza maisha yaendelee. Sasa wewe mwanaume kabisa unakimbilia kamba kweli.??? Yan Ni heri anaeamua kuwa muhuni maana kawa muhuni Ila bado Ni faraja kwa mama yake. Sasa we unaeona hata wazazi hawastahili kukupenda...
And angalieni utafiti unafanyika kwa namna nyingi Kuna mkuu wachuo alishafanya utafiti kubaini Ni wanafunzi wangapi wanaojiuza akaomba watu wanaojiuza wakamatwe kilichotokea wakamatwa vijiwe vyote vya mkoa flan ikawa anaeruhusiwa kutoka Ni mwanafunzi tu awe Na kitambulisho Au awasiliane Na ndgu...
Aisee hivi kuskia umeskia Na macho umekosa? Mradi wa SAUTI umeanzia mkoa gani? Na umefanikiwa sana mkoa gani fanya utafiti. Iringa uko juu ndgu yangu huu mradi umebamba sana Iringa. Kazi kwenu
Sisi tatizo letu lilikuwa dini. Mm ni muislam yeye ni mkristu haikua rahis kuacha uislam na haikua rahis yey kuacha ukristu na tungeishi pamoja watoto tungewalea wapi. Hilo ndo lilitufanya tujue mapema hatuwezi oana
Naombeni msaada ndgu zangu natarajia kusafiri kuelekea Argentina nimeambiwa natakiwa chanjo ya yellow fever naombeni process zikoje na niko mwanza kwa sasa. Hiyo chanjo naipataje?? Asanteni
Jaman naombeni msaada process za kusafir ninapasport nahitaji kusafir kwenda Argentina nimealikwa mwez mmoja tu. Mwenye uelewa anisaidie maana naskia kuna yellow fever vaccine. Nafanyaje nipate hiyo chanjo au aje
Jaman ninaswali kuna mtu nampenda ananipenda kuna sababu zilifanya tusiwe wote. Ameoa nimeolewa nawatoto wawili anawatoto wawili. Ila ni mtu ananifaham nami namfaham kiundani zaidi ya wenzi wetu. Tulikuwa na uhusiano kabla ya kuwa na familia. Na uhusiano wetu haukuwa na mpango wakuwa na familia...
Sjawahi kuficha hisia zangu akifanikiwa kunifkisha asante anazipata sana sku akishindwa huwa ananionea huruma yani na sometimes anawaza anakosa raha mm ndo nimtanie tanie awe normal ila sjawahi ona neno Pole linatumika na silipendi. Pole ya nn na huku nilikuwa nataka raha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.