Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,503
Nimekupata...Ndo mana nikasema kama una mtu kimeo ni shida na namaanisha labda ni mchepukaji pia ni shida lakini kama yuko peace mbona mambo easy.Na ndo maana nikasisitiza aina ya mtu maana najua hatufanani.Na utachepuka kama ukiwa na kimeo lakini kama umeridhika na ulienae kuchepuka kunatoka wapi?
Concern yangu ni hili swala la kuwa eti mu mwili mmoja. Mimi sioni uhalisia wake zaidi ya kuliona kuwa ni sham.
Na usiniambie kuwa kupanga wote mipango ya maisha ndo uthibitisho kuwa mu mwili mmoja.
Na sijui ni kwa nini watu huiamini hii dhana