Mvua ya mawe yanyesha jijini Arusha

Mvua ya mawe yanyesha jijini Arusha

Haki ikitendeka kwa mtu asie na hatia, mbingu zinafunguka,,Haki alopewa mahakamani leo imesababisha mbingu zifunguke na mvua kunyesha.....
Mvua ya mawe imenyesha pia mwanza jana je nako kaachiwa nani?
 
Huenda ile ndoto ni ya kweli aise
 
Mvua kubwa inatandika Arusha na vipande vya mawe hii ni ishara.na Baraka toka kwa Mungu

Wakulima ingieni mashambani Siasa ni Kilimo

Tulianza na MUNGU tumemaliza na Mungu
Hahahahahaha mvua ya mawe ni baraka? Ama kweli mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo wallah
 
Hata magufur kipindi anaapishwa mvua ilinyesha watu wasemu huu nimsimu wamavuna but ulizia sasa!! Acheni hizo imani zakusema mungu katoa baraka zake, imenyesha tu
 
Hakuna anayeumia kwa sab ameshabadilika.
Lema Ni yule yule atasema ukweli bila kuogopa Na hamna atakaemdhuru sku Mungu akiamua kumchukua atamchukua yeye Na si binadam. Na kasema anawaraka kwa rais Nausubiri. Huyo ndo lema original.
 
Tatizo Lema amejaliwa akiongea anasikilizwa sio huyo ambaye hata wazee wa korogwe walimkataaa
 
hiki ni kipindi chs maungamo...aka kwaresma
 
Jana mwanza ilinyesha kubwa sana na ya mawe. SIASA BANA KILA KITU MNAWEKA SIASA TU.
 
Mvua kubwa inatandika Arusha na vipande vya mawe hii ni ishara.na Baraka toka kwa Mungu

Wakulima ingieni mashambani Siasa ni Kilimo

Tulianza na MUNGU tumemaliza na Mungu
Arusha ilishabarikiwa kwa miaka mingi mno

Baraka za Arusha huwa haziishi.
 
View attachment 476447
Muda mfupi baada ya Mbunge Wa Arusha Mjini Mh G Lema kuachiwa mvua ya Mawe imelisafisha jiji la Arusha kama inavyoonekana hapo pichani.

Watu walikua wanashangilia kutoka rumande kwa Mbunge huyo aliyekaa ndani takribani miezi minne.
Kwa hiyo unadhani hiyo mvua ina uhusiano na kutoka kwake?Kweli ushabiki mbaya.
 
View attachment 476447
Muda mfupi baada ya Mbunge Wa Arusha Mjini Mh G Lema kuachiwa mvua ya Mawe imelisafisha jiji la Arusha kama inavyoonekana hapo pichani.

Watu walikua wanashangilia kutoka rumande kwa Mbunge huyo aliyekaa ndani takribani miezi minne.

MH, MI SIJAIONA, UNGESEMA LABDA SANAWARI.
 
Back
Top Bottom