Recent content by sweet voice

  1. S

    TANZIA: Mwanachama mwenzetu, PakaJimmy amefiwa na mwanae ajali ya basi Arusha

    poleni sana na Mungu atutie nguvu kipindi hiki kigumu
  2. S

    Mwanamke maskini katika mapenz hafai...muogopeni jamani

    unaweza ukalaumu saana kumbe tatizo ni wewe
  3. S

    Ushauri wa kifedha kwa vijana

    nice one#save money
  4. S

    Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

    get well soon Money Penny
  5. S

    Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

    eehh!! si kwa utamu huo!sante Money Penny
  6. S

    Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

    sasa kwa sisi tulio single tutaisoma namba maana story ilikua inatupa company!!Money Penny hakuna namna kwani
  7. S

    Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

    nice!yani apo nimejifunza kitu marafiki si watu wazur ni kuwa makini nao
  8. S

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    yaan kwa hiki kinachoendelea nchini ni bora ukae na limao maana si kwa kichefuchefu hiki!!
  9. S

    Mume wangu simwelewi, hataki kabisa nishike simu yake

    kushika simu ya mumeo ni sawa na kunawa uso kwa maji ya kitunguu yaani lazima machozi yakutoke,kwahiyo usiguse!!!
  10. S

    Anaewaelewa wanawake anisaidie

    ooh siku hizi kila sehemu si kwenye mahusiano,kazini,nyumbani yani shida tuu
Back
Top Bottom