Kuna wanawake masikini hawapendi kuwa malaya, mimi kipindi nipo O level mtaani kulikuwa na dada anaitwa Asia ana kiuno chembamba alafu bonge la shepu, alikuwa malaya mpaka kufikia hatua ya kujiuza, kwao anakaa na mama, mama yake kazi za kuungaunga, yy ndiye alikuwa anailisha familia. Lkn ile tabia ya umalaya alikuwa anaichukia, bahati nzuri akapata jamaa ana uwezo wa wastani, yule demu alitulia tuli, akaja akapata mimba, ana karibia kujifungua, wanampima vipimo vinaonyesha kaathirika, demu alichanganyikiwa haikupita hata mwaka akafa. Kuna mwengine nae ni binti ambaye hata mm nilizoeana nae kwao masikini hana uhakika wa kula, ila ni black Beauty moja matata, alikuwa anazunguka kwenye mabaa mtaani kutafuta wanaume, baadaye Kuna jamaa akaja muoa sasa hivi katulia, kaacha kuvaa nguo za ajabu ajabu, yupo na mume wake na mtoto wao. Wapo wengi ninao wafahamu walikuwa malaya sasa hivi wametulia na ndoa zao. Kwa hiyo ndugu, hawa dada zetu sometime njaa ndio zinawafanya wawe malaya, lkn kama akipata mtu tu wakumtimizia, mahitaji yake ya msingi (sio luxury), mara nyingi huwa wanatulia. Alafu usidanganyike na hawa watoto wa geti kali wengi wao wana viburi, dharau, hawajui kazi zile za nyumbani, ujuaji mwingi mpaka wanakela