Recent content by Swae24

  1. S

    Kweli wadada hiii ni sahihi?????????

    Pole sana kaka,jaribu kuachilia kwa maana ya kumsamehe japo hayupo ili uwe huru zaidi...
  2. S

    kila siku mimi tu jamani

    Nenda kafanyiwe maombi...
  3. S

    kimenuka ilala nini tena jamanii kulikoni eti sensa????????????

    wangeweka tu walimu hawajuagi fujo..!
  4. S

    Sheikh Ponda na wenzake wasisitiza waislam kugomea sensa!

    serkali imeweka sensa ifae kwa hitaji fulani mfano mipango ya maendeleo,wao kwa kutumia mpango wa serkali wanaleta agenda yao,kwanini wasitenganishe dini na serkali....!?
  5. S

    naomba mbinu za kuishi bila boyfriend

    tafuta namna ya kujiweka busy...na jaribu kuintarakt na watu wengi zaidi kuliko mtu mmoja.
  6. S

    How to Know if a Guy Likes You

    thanks a lot
  7. S

    Sensa kwa walio Singida!

    Kwa wale tulio Singida tuendelee kujuzana jamani walau kuhusu muda wa kuanza mchakato wa usahili...
  8. S

    Lugha za serikali yetu sikivu

    hayo maneno sikuhizi yanazidisha tu hasira maana imekuwa ni dalili ya kutokuwajibika...........
  9. S

    Ajira za ualimu kwa watu wasio na shahada ya ualimu

    upo siriaz kweli..............serkali sikivu kiaje!?
  10. S

    Bongo bila maandamano migomo na kelele hakiend..

    Kuna hili suala la mikopo kwa wanafunzi,inashangaza sana wanafunzi wanafanya field kwa hali ngumu mfano SAUT Mwanza,xaxa inakuwaje vyuo vingine vinapewa allowance halafu vingine vinayumbishwa......au sababu saut ni chuo cha mtakatifu na hawajazoea kelele ama maandamano?...au kuwa bali na ofisi...
  11. S

    Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa

    The beautful one is not yet born....!
  12. S

    Kwanini jey key ulinisomesha?

    Kipi kinakusibu ndugu yangu?
  13. S

    Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

    Na hata bungeni kuna baadhi ya hoja haziruhusiwi kujadiliwa kisa shaur lipo mahakaman...
  14. S

    Juma Nkamia: Ni nani wamiliki wa mitandao inayokashifu viongozi?

    hawana lolote kabisa wao ni sindikiza tu.
Back
Top Bottom