Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Nashndwa kukuelewa raisi wangu,kwa nini umewekeza mamilioni ya shilingi kwa kunisomesha mwisho wa siku unaniacha na hang kama kondoo asiye na mchungi.
>kwani ulikua na lengo gani nami?
>kwa nini hukunitaarifu mapema kama hali ndio itakuja kuwa hivi?
>je? Unaweza tembea kifua mbele kuja kunidai mkopo?
>kwani ulikua na lengo gani nami?
>kwa nini hukunitaarifu mapema kama hali ndio itakuja kuwa hivi?
>je? Unaweza tembea kifua mbele kuja kunidai mkopo?