SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
wakati mwingine wanakucheat kwasababu unawapa kila kitu,wanaenda kwa wanaowanyima baadhi ya vitu!jaribu kubadili aina ya mahusiano uliyonayo na hao wanaume my dear!si nyakati zote kujitoa kiasi hicho unachofikiri unajitoa kinasaidia kulimudu penzi!mi huwa naamini mapenzi hujengwa na vitu vidogo sana na hubomolewa na vitu vidogo vile vile!so badili karata mama!pima maji kwanza kabla hujatia unga kusonga ugali!
Hebu mshauri tena snowhite bana..
Do you mean ukimpa mtu kila k2 anakumwaga??
Last edited by a moderator: