Makarani waliochaguliwa kwa vigezo walivyoviweka wakubwa wa nbs leo ilikuwa patanikushika ktk Sehemu zao walizoziteua kwa mafunzo manispaa ya ilala . Polisi waliofika kuzima fujo pia walionekana kuimbiwa na makarani hao kweli we are not serious in this watu mmewachagua nyie kwa vigezo vyenu , mmepoteza muda wenu kuwatrain na mitihani ya hapa na pale leo ckuzimepita wanaambiwa kunawatu mtawaondoa tena bila kujali kuwapa cku walizopoteza na hela walizozitumia kwa nauli kilasiku.Jamani tuwe makini katika mambo yanayoitaji umakini ili kujenga uzalendo na ktk kes hii uzalendo utatoka wap au mnataka wajifungie wapike data . uU A TANZANIAN ,ACT POSITIVE TO TANZANIANS NAIPENDA MY TANZANIA ??????????????????????????????????????????????????????????????????????