NIMEIPENDA HII ASEE.
Kuna kisa kimoja:
Jamaa alienda na mke wa mtu Disko, wakati ameondoka, majirani wakamtonya mume kwamba mke wake ameondoka na hawala kwenda Disko. Mume akachukua panga na kuelekea penye Disko, akamkuta mlinzi mlangoni, akamwambia kiluchomleta, kwamba lazima amtende vibaya...