Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 5,131
- 8,369
Ni ruhusa kushikana sio kushikiana simu
Anampotosha mwenzie labda wanajuana ila ushauri wake sio wa upendo kabisa
Inaonekana kichwani uko vizuri. Hongera.Kesho akirudi mwambie hujafurahi yeye kulala nje ukishasema yako ya moyoni muwekee chai anywe.
Mkumbushe kuwa mna watoto wanahitaji kulelewa na HIV is real.
Ukishayaongea yote, funga mjadala endelea na maisha. Ukimnunia umempa because ya kwenda atakako.
Ngoja niende kuchekiAre you serious? I hope not. Ila kama upo serious basi hutokuwa tofauti na Mama Karisa yule wa hadithi yetu pendwa. Usisahau umalaya wa uzeeni hugharimu [emoji2]
Naomba unidake na mie chozi pasua kichwa [emoji2357][emoji2357][emoji2357][emoji2357]Hahahahaha
Pasua kichwaaaa
HahahahaNaomba unidake na mie chozi pasua kichwa [emoji2357][emoji2357][emoji2357][emoji2357]
Huduma kwanza bana au nimesoma vibaya comment yako ya kwanzaHahahaha
Ukihisi kama kuumizwa umizwa naomba unijuliishe mapema niliwahi hilo chozi
Kudaka chozi lazima kuendane na huduma pasua kichwa,ondoa shaka kabisa!Huduma kwanza bana au nimesoma vibaya comment yako ya kwanza
HahahhKudaka chozi lazima kuendane na huduma pasua kichwa,ondoa shaka kabisa!
Bado natafakari huu ujumbe wako hasa ukizingatia tatizo lililojitokeza ni matokeo na wala si chanzo. Wengi wetu tunajaribu kutibu matokeo bila kutibu chanzo. Kwa uzoefu wangu katika ndoa, Sumu ya ndoa ni kukosekana kwa mgegedo katika ndoa na vyanzo vikuu ni:-Habari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.
Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.
Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.
Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.
Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.
Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.
Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.
Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "
Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.
Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?
Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?
Miye ni mwanaume. Ushauri wangu ni kwamba kama kweli unajua maana ya ndoa, haya mambo si ya kuleta mahali kama hapa. Ndo maana unashauriwa nawe uanze kuchepuka. Nakushauri kama ulivyolianzisha utafute namna ya kulimaliza mwenyewe. JF si uwanja wa kila kitu! Kizazi hiki sijui kinafundishwa mini kuhusu ndoa[emoji32][emoji32][emoji32]Habari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.
Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.
Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.
Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.
Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.
Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.
Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.
Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "
Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.
Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?
Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?
Miye ni mwanaume. Ushauri wangu ni kwamba kama kweli unajua maana ya ndoa, haya mambo si ya kuleta mahali kama hapa. Ndo maana unashauriwa nawe uanze kuchepuka. Nakushauri kama ulivyolianzisha utafute namna ya kulimaliza mwenyewe. JF si uwanja wa kila kitu! Kizazi hiki sijui kinafundishwa mini kuhusu ndoa[emoji32][emoji32][emoji32]