victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Hukunielewa mkuu, point yangu ipo very clear kwamba, haijalishi una uwezo wa kuendesha umbali gani au umefanya kazi ya udereva kwa kipndi gani, swala hapa ni kufuata kanuni na taratibu, hii pekee ndio itaondoa ajali za kipuuzi kama hizi, ukweli ni kwamba watz wengi hatupendi kufuata sheria na sio kwenye udereva tu, hapo ndio kwenye tatizo.kwa hiyo hapo mnafata sheria umbali wa 10km kil siku mnagongwa sheria zipi mnafata hakuna madereva bwana hapo mmepewa Elimu miezi sita still mnagonga kila siku harafu unakuja kutetea ujinga hapa..