Biashara ni mkombozi

supercool

Member
May 10, 2013
49
13
Napenda kujua mbuzi kama hawa nitawapata wapi?mi nipo Tanga

Screenshot_20191031-165954_WhatsApp.jpeg
 
Hawa mbuzi wanaitwa Boer wanapatikana sana S Africa na Kenya pia wapo
Wanafika mpaka 100kg na bei yake ni kubwa
Ila kuna matapeli wameuza kwa picha sana kwa hiyo jihadhari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom