Hawa mbuzi wanaitwa Boer wanapatikana sana S Africa na Kenya pia wapo
Wanafika mpaka 100kg na bei yake ni kubwa
Ila kuna matapeli wameuza kwa picha sana kwa hiyo jihadhari sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.