Habari, anahitajika kijana mwenye certificate au diploma ya Clearing and forwarding.
Kwa mwenye uhitaji atume VYETI kweny email hii
hamishusna07@gmail.com
NAFASI NI MOJA, OFISI ZIPO POSTA DSM. wakwanza kuwasilisha Maombi atapewa kipaombele.
Inasikitisha mnoo.. Upole, uungwana, hekma ya mtu inapo tasfiriwa kama "udhaifu"..pole pole gwajima na washirika wao. Kuna lugha wanaielewa...!! Nadhani wakati umewadia wa kuwaelewesha.. Kwa lugha hiyo..
Mkuu.. It's too bad u've ur own conclusion on the matter!! Laiti lengo lako lingekuwa ni kuelewa.. Ni kitu kidoogo saana hicho.. Ungeelewa!! But lengo lako 'ni kukejeli.. Basi utafanikiwa ktk Hilo!! Huyo mtume Mohammad صلى الله عليه وسلم uliye mdhihaki NA kukejeli alipata kusema..' hakika kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.