Msaada wa kisheria, nataka kuachana na mke wangu.
Habarini za weekend magwiji wa sheria. Mimi ninaishi na mke wangu (bila ndoa kwani ni dini tofauti) kwa takribani miaka 4. Huyu binti sikuwahi kumpenda japo yeye alinipenda sikutaka kujiingiza kwenye penzi kwani nilijua kuoana itakuwa ngumu, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.