Video ya "Gidi'' ya Diamond Platnumz yakosolewa vikali mtandaoni kwa kutumia bendera inayohusishwa na ubaguzi


Mwanamuziki wa Tanzania Diamond Platnumz amekosolewa mitandaoni kwa kutumia bendera yenye utata katika video ya wimbo wake mpya wa Gidi.

Bendera hiyo ni ya kundi la Shirikisho la majimbo ya kusini ya Marekani ambayo yalipigania kudumisha utumwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe na bendera hiyo inaonekana kama ishara ya mivutano ya ubaguzi wa rangi nchini Marekani. Moja ya kipande cha video atika wimbo wa Gidi kina bendera mbili zilizoonyeshwa wakati akicheza huku akiwa na muonkeano wa Cowboy.

Nini maoni yako juu ya video hii?



================================================================

Diamond Platinumz: Video ya wimbo mpya Gidi yakosolewa mitandaoni Marekani

Mwanamuziki wa Tanzania, Diamond Platnumz anakosolewa mtandaoni kwa kuangazia bendera ya Shirikisho kwenye video ya wimbo wake mpya.

Shirikisho lilikuwa ni kundi la majimbo ya Kusini ambayo yalipigana kudumisha utumwa wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Marekani na bendera hizo zinaonekana kama ishara ya mivutano ya ubaguzi wa rangi nchini Marekani.

Moja ya matukio ya video ya Diamond katika wimbo wa Gidi ina bendera mbili zilizoonyeshwa wakati akicheza huku akiwa na muonekano wa Cowboy.

Baadhi ya watumiaji wa Twitter wametoa hisia zao kuhusiana na video ya msanii huyo.

"Bendera ya Muungano katika video yako inasumbua," aliandika mtumiaji mmoja.

"Bendera ya Muungano?"Clyde Blaise aliandika na kujuumisha emoji ya pipa la taka.

Kufikia sasa Diamond hajatoa tamko lolote kuhusiana na madai hayo.
Yaani nimeitafuta hata siioni
 

Mwanamuziki wa Tanzania Diamond Platnumz amekosolewa mitandaoni kwa kutumia bendera yenye utata katika video ya wimbo wake mpya wa Gidi.

Bendera hiyo ni ya kundi la Shirikisho la majimbo ya kusini ya Marekani ambayo yalipigania kudumisha utumwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe na bendera hiyo inaonekana kama ishara ya mivutano ya ubaguzi wa rangi nchini Marekani. Moja ya kipande cha video atika wimbo wa Gidi kina bendera mbili zilizoonyeshwa wakati akicheza huku akiwa na muonkeano wa Cowboy.

Nini maoni yako juu ya video hii?



================================================================

Diamond Platinumz: Video ya wimbo mpya Gidi yakosolewa mitandaoni Marekani

Mwanamuziki wa Tanzania, Diamond Platnumz anakosolewa mtandaoni kwa kuangazia bendera ya Shirikisho kwenye video ya wimbo wake mpya.

Shirikisho lilikuwa ni kundi la majimbo ya Kusini ambayo yalipigana kudumisha utumwa wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Marekani na bendera hizo zinaonekana kama ishara ya mivutano ya ubaguzi wa rangi nchini Marekani.

Moja ya matukio ya video ya Diamond katika wimbo wa Gidi ina bendera mbili zilizoonyeshwa wakati akicheza huku akiwa na muonekano wa Cowboy.

Baadhi ya watumiaji wa Twitter wametoa hisia zao kuhusiana na video ya msanii huyo.

"Bendera ya Muungano katika video yako inasumbua," aliandika mtumiaji mmoja.

"Bendera ya Muungano?"Clyde Blaise aliandika na kujuumisha emoji ya pipa la taka.

Kufikia sasa Diamond hajatoa tamko lolote kuhusiana na madai hayo.
most of cow boys are racist na ukiangalia jamaa kavaaa ki cowboy na ukijumlisha a hiyo bendera hapo mtu anaweza fikiria vibaya ila sio mbaya
 
Kusema mara Wamarekani watafanya hivi mara watafanya vile, it's utter nonsense!!!

Huo wimbo wenyewe umeanza kuonekana kwenye accounts za Grammy ambazo ni za hao hao Wamarekani!

Na kwenye video, hiyo bendera inaonekana kwenye wimbo uliokuwa posted na Diamond, tena unaonekana kisehemu kidogo sana kwa chini, tena ni inaonekana in less than 2 seconds.

Hata hao akina Wakazi wanatumia bendera inayoonekana kwenye still picture liyoi-post Instagram na sio kwenye wimbo! manake ile kwenye video haiokeni kihivyo kiasi cha watu kusema inakuwa kama ana-promote racism!

Na hata huko Instagram, ni lazima uwe huna kazi ya kufanya kwanza ndo utaiona coz, out of 10 photos alizoweka pamoja, unatakiwa ku-swipe hadi last photo (ya 10) ndipo unaikuta hiyo picha yenye bendera!!

Sasa sijui hao Wamarekani hivi sasa wanamfuatilia Diamond kiasi hicho au ndo ile tu kasumba ya Wabongo ambao ni wazuri sana katika kutafuta kitu cha kukosoa kuliko katika ku-create!
 
Hayo mambo mhusika sidhani hata anayafahamu kuna uwezekano mkubwa akajua kuwa ni urembo tu.
Ni kweli; yeye aldhani ni style tu, na huenda haja yake ilikuwa ni kutaka muziki huo upendwe na wamarekani akidhani u-cowboy ndio umarekani. Tatizo kubwa wanamuziki wetu hawa wa kisasa kutunga video mradi iwe video mambo ya kifahari fahari na kucheza cheza tu bila kuhusisha storyline ya video hiyo na maudhui ya wimbo wenyewe.
 
Ni kweli; yeye aldhani ni style tu, na huenda haja yake ilikuwa ni kutaka muziki huo upendwe na wamarekani akidhani u-cowboy ndio umarekani. Tatizo kubwa wanamuziki wetu hawa wa kisasa kutunga video mradi iwe video mambo ya kifahari fahari na kucheza cheza tu bila kuhusisha storyline ya video hiyo na maudhui ya wimbo wenyewe.
Hayo mambo mhusika sidhani hata anayafahamu kuna uwezekano mkubwa akajua kuwa ni urembo tu.
Nyie watu mna viroja si kidogo...

Tatizo Wabongo mnajifanya mnawajua sana Wamarekani na Marekani yao kuliko wanavyojijua wenyewe! Hizo confederation flags na nemba zake US watu bado wanazivaa let alone kuonekana kwenye filamu mara kwa mara, seuze kutokea kwenye wimbo wa Diamond!!

Btw, hivi Diamond awe na ushamba kiasi hicho kwa sababu zipi hasa? Kwavile mnamuona hajaenda shule, ama?

Hivi kwavile nyie mna elimu mathalani kuliko 50 Cent ndo mnataka kusema 50Cent ni mshamba kuliko nyie?

Na hivi Diamond ameenda US mara ngapi?

Hivi amezungukwa na wasomi wangapi?

Tuseme yeye hajaenda shule... ina maana hata SA Director aliye-direct hiyo video na mwenyewe hajaenda shule?

Hivi kwa akili yenu huo wimbo ungekuwa na hayo mnayosema, hivi hao Grammy wangeupitisha wakati Grammy works with African American community?

Wengine wanaojifanya hapa kuujua huo u-cowboy hata Nairobi tu hapo hawajawahi kukanyaga lakini wanataka kujifanya wanaujua u-cowboy kuliko WOOOOOOTE waliohusika na hiyo video!!

Narudia, labda Diamond ashutumiwe kufanya video kwenye counter ambayo kwa juu kuna hizo bendera lakini sio eti ku-promote confederate flag!

Wimbo ulianza kuwa posted na Grammy... hakuna hiyo bendera kwenye video.

Pia wimbo umekuwa posted kwenye channel yake... huo ulio kwenye channel yake ndio unaweza kuona just flashing the lower part of the flag...

FlAG.png


And the flashing takes place within a second kiasi kwamba kama huja-concentrate wala huwezi kuona!

Na ukiwa positive unaona moja kwa moja kulikuwa na jitihada za kutaka kutoionesha hiyo bendera but the editor missed that small part!
 
Kwani wamarekani Wenyewe wanasemaje kuhusiana na hii issue?
Labda kama unamaanisha Wamarekani wa Buguruni na Wamarekani wa Makaratasi manake ndo wapenda kukuza mambo lakini Wamarekani wenyewe ni hawa hapa👇👇👇👇

Busta.png


Na hao Wamarekani wa Buguruni na wa Makaratasi walichofanya ni kutumia still picture na sio video kwa sababu kwenye video inaonekana kasehemu kadogo sana tena kanaonekana for atmost, one second kiasi kwamba usipokuwa makini wala huwezi kuona!
 
Nyie watu mna viroja si kidogo...

Tatizo Wabongo mnajifanya mnawajua sana Wamarekani na Marekani yao kuliko wanavyojijua wenyewe! Hizo confederation flags na nemba zake US watu bado wanazivaa let alone kuonekana kwenye filamu mara kwa mara, seuze kutokea kwenye wimbo wa Diamond!!

Btw, hivi Diamond awe na ushamba kiasi hicho kwa sababu zipi hasa? Kwavile mnamuona hajaenda shule, ama?

Hivi kwavile nyie mna elimu mathalani kuliko 50 Cent ndo mnataka kusema 50Cent ni mshamba kuliko nyie?

Na hivi Diamond ameenda US mara ngapi?

Hivi amezungukwa na wasomi wangapi?

Tuseme yeye hajaenda shule... ina maana hata SA Director aliye-direct hiyo video na mwenyewe hajaenda shule?

Hivi kwa akili yenu huo wimbo ungekuwa na hayo mnayosema, hivi hao Grammy wangeupitisha wakati Grammy works with African American community?

Wengine wanaojifanya hapa kuujua huo u-cowboy hata Nairobi tu hapo hawajawahi kukanyaga lakini wanataka kujifanya wanaujua u-cowboy kuliko WOOOOOOTE waliohusika na hiyo video!!

Narudia, labda Diamond ashutumiwe kufanya video kwenye counter ambayo kwa juu kuna hizo bendera lakini sio eti ku-promote confederate flag!

Wimbo ulianza kuwa posted na Grammy... hakuna hiyo bendera kwenye video.

Pia wimbo umekuwa posted kwenye channel yake... huo ulio kwenye channel yake ndio unaweza kuona just flashing the lower part of the flag...

View attachment 2130547

And the flashing takes place within a second kiasi kwamba kama huja-concentrate wala huwezi kuona!

Na ukiwa positive unaona moja kwa moja kulikuwa na jitihada za kutaka kutoionesha hiyo bendera but the editor missed that small part!
1. Bwana mdogo, mimi ninasihi marekani mwaka wa 28 huu, kwa hiyo ninaijua Marekani vizuri sana. xWanamuziki wa kitanzania wanapokuja kupiga huku ni sisi ambao huwa tunawapa support. Angekuwa anaijua maana ya confederate flag au tabia za za cowboy asingeviweka katika video yake. Hakuna mmarekani mwenye akili timamu anayeitumia au kuishabikia conferedate flag na symbolza zake ispokuwa wabaguzi htu; na kwa hali hiyo hakuna mtu mweusi hata mmoja anayeweza kutumia confederate flag kwa namna yoyote ya kuitukuza labda kama anataka wimbo huo unapinga ubaguzi. Yeye kwenda mareekani na kuishia hotelini na kwenye kumbi laizoandaliwa haina maana kuwa tayari anajua kila kitu kuhusu marekani. Kwa vile na wewe huji ila unadhani kwa vile diamond keshaneda mrakeni kwa hiyo anajua kila kitu, basi elewa kuwa watu wa confederate ni sawa kabisa na watu wa Nazi ya hitler ambao huamni kuwa watu wasiokuwa weupe siyo binadamu kamili.
1645781025776.png


2. Hiyo ya kupiga kwenye Grammy na wewe limbukeni inakusumbua sana ukidhani kuwa ndiyo mwisho wa anga na kuamaini kuwa kwa vile alipiga pale, basi kila kitu anachofanya ni sahihi- yaano Bposi hakosei. Usitegeneze mzingira kuwa Grammy waliona wimbo huo wakasema ni mzuri hivyo wakamwomba Diamnd awapigie bila kuelewa kuwa ni Diamnd ndiye aliyejiandiska pale Grammys global Spin ili atambulishe wimbo wake huo mpya, na akakubaliwa. Wakati huo bado alikuwa hajautoa na wala ulikuwa haujulikani, na hata video hiyo haikuwapo. Siyo kweli kuwa grammy waliona kuwa huo ni wimbo mzuri "wakamuomba awapigie" kama unavyotaka kutunganzaia. Grammy Global Spin digital ni program waliyoaianzisha mwaka huu ili kutoa mwanya kwa muziki wa dunia nzima kusikilizwa online, watu wengi wametumia mwanya huo. Hata wewekama ni mwanamuziki unaweza kujiandikishapale na kuomba kutambulisha muziki wako . Kuna vigezo utatakiwa kuvitekeleza, kama vile kuwa na stream za kiasi fulani ideo online, lakini hawaji kukutafuta wao binafsi, bali unajitangaza kwao wewe mwenyewe.

3. Flash hiyo kuonekana muda mfupi siyo issue kabisa katika nyimbo hizo zinazo-run kwa dakika mbili na nusu tu; what matters ni hiyo glrofication ya confederate symbols. Kuwa directed na mtu wa South Africa siyo warrant ya kufanya makosa.

4. Ni busara sana kukubali kuwa kuna makosa yalifanyika, kuliko kutetea makosa hayo kw kutumia vigezo hafififu kama ulivyotoa. Ni afdahali angesema kuw wakati anarekodi hakuobna kuwa symbols hizo zilikuwapo, kuliko kutetea kuwa yeye anaijua marekani kuliko wanaocomment. Huyo Wakazi aliyemkosa kwa mara ya kwanza yeye kasoma na kaishi Marekani kwa takriban miaka kumi kabla hajarudi Tanzania kufanya muziki, kwa hiyo alikosoaa akiwa anajua kabisa anasema nini.
 
1. Bwana mdogo, mimi ninasihi marekani mwaka wa 28 huu, kwa hiyo ninaijua Marekani vizuri sana. xWanamuziki wa kitanzania wanapokuja kupiga huku ni sisi ambao huwa tunawapa support. Angekuwa anaijua maana ya confederate flag au tabia za za cowboy asingeviweka katika video yake. Hakuna mmarekani mwenye akili timamu anayeitumia au kuishabikia conferedate flag na symbolza zake ispokuwa wabaguzi htu; na kwa hali hiyo hakuna mtu mweusi hata mmoja anayeweza kutumia confederate flag kwa namna yoyote ya kuitukuza labda kama anataka wimbo huo unapinga ubaguzi. Yeye kwenda mareekani na kuishia hotelini na kwenye kumbi laizoandaliwa haina maana kuwa tayari anajua kila kitu kuhusu marekani. Kwa vile na wewe huji ila unadhani kwa vile diamond keshaneda mrakeni kwa hiyo anajua kila kitu, basi elewa kuwa watu wa confederate ni sawa kabisa na watu wa Nazi ya hitler ambao huamni kuwa watu wasiokuwa weupe siyo binadamu kamili.
View attachment 2130655

2. Hiyo ya kupiga kwenye Grammy na wewe limbukeni inakusumbua sana ukidhani kuwa ndiyo mwisho wa anga na kuamaini kuwa kwa vile alipiga pale, basi kila kitu anachofanya ni sahihi- yaano Bposi hakosei. Usitegeneze mzingira kuwa Grammy waliona wimbo huo wakasema ni mzuri hivyo wakamwomba Diamnd awapigie bila kuelewa kuwa ni Diamnd ndiye aliyejiandiska pale Grammys global Spin ili atambulishe wimbo wake huo mpya, na akakubaliwa. Wakati huo bado alikuwa hajautoa na wala ulikuwa haujulikani, na hata video hiyo haikuwapo. Siyo kweli kuwa grammy waliona kuwa huo ni wimbo mzuri "wakamuomba awapigie" kama unavyotaka kutunganzaia. Grammy Global Spin digital ni program waliyoaianzisha mwaka huu ili kutoa mwanya kwa muziki wa dunia nzima kusikilizwa online, watu wengi wametumia mwanya huo. Hata wewekama ni mwanamuziki unaweza kujiandikishapale na kuomba kutambulisha muziki wako . Kuna vigezo utatakiwa kuvitekeleza, kama vile kuwa na stream za kiasi fulani ideo online, lakini hawaji kukutafuta wao binafsi, bali unajitangaza kwao wewe mwenyewe.

3. Flash hiyo kuonekana muda mfupi siyo issue kabisa katika nyimbo hizo zinazo-run kwa dakika mbili na nusu tu; what matters ni hiyo glrofication ya confederate symbols. Kuwa directed na mtu wa South Africa siyo warrant ya kufanya makosa.

4. Ni busara sana kukubali kuwa kuna makosa yalifanyika, kuliko kutetea makosa hayo kw kutumia vigezo hafififu kama ulivyotoa. Ni afdahali angesema kuw wakati anarekodi hakuobna kuwa symbols hizo zilikuwapo, kuliko kutetea kuwa yeye anaijua marekani kuliko wanaocomment. Huyo Wakazi aliyemkosa kwa mara ya kwanza yeye kasoma na kaishi Marekani kwa takriban miaka kumi kabla hajarudi Tanzania kufanya muziki, kwa hiyo alikosoaa akiwa anajua kabisa anasema nini.
Wewe tangu kukaa kwako huko marekani hiyo miaka mbona hela kakuzidi Sana shida mna wivu na mafanikio ya kijana kwenye hiyo video wa wimbo wake hakuna sehemu iliyoonekana hiyo bendera sema imekuja kuonekana sehemu ya picha aliyopost Tena ipo juu kabisa sehemu ya counter ambapo inaonesha mtu mwenyewe hana habari kabisa sema kwa chuki na roho mbaya mnaikuza jambo lenyewe lionekane ni kubwa Sana au jamaa kakosa sana
 
Wewe tangu kukaa kwako huko marekani hiyo miaka mbona hela kakuzidi Sana shida mna wivu na mafanikio ya kijana kwenye hiyo video wa wimbo wake hakuna sehemu iliyoonekana hiyo bendera sema imekuja kuonekana sehemu ya picha aliyopost Tena ipo juu kabisa sehemu ya counter ambapo inaonesha mtu mwenyewe hana habari kabisa sema kwa chuki na roho mbaya mnaikuza jambo lenyewe lionekane ni kubwa Sana au jamaa kakosa sana
Huo ndio ujinga wako kuabudu hela. na nadhani ndiyo sababu inayokufanya usione makosa yake kwa vile unajua ana hela nyingu. Wewe unaamnini kuwa yeye ana hela kuliko wote wanokosa video hiyo; je unajua mimi nina hela kiasi gani? Je unajua ninaishi vipi? unajua familia yangu inaishi vipi?

WWewe na wote wanotetea, mnapozidi kutetea makosa hayo mnazidi kumharibia kwani mnazidi kuyatangaza makos hayo. Ni afadhali mngenyamaza tu kuyaacha yaishe yenyewe, ila hii ya kujaribu kupigana vita na kila anyeongelea makosa hayo sidhani kama mnampa faida yoyote.
 
Huo ndio ujinga wako kuabudu hela. na nadhani ndiyo sababu inayokufanya usione makosa yake kwa vile unajua ana hela nyingu. Wewe unaamnini kuwa yeye ana hela kuliko wote wanokosa video hiyo; je unajua mimi nina hela kiasi gani? Je unajua ninaishi vipi? unajua familia yangu inaishi vipi?

WWewe na wote wanotetea, mnapozidi kutetea makosa hayo mnazidi kumharibia kwani mnazidi kuyatangaza makos hayo. Ni afadhali mngenyamaza tu kuyaacha yaishe yenyewe, ila hii ya kujaribu kupigana vita na kila anyeongelea makosa hayo sidhani kama mnampa faida yoyote.
Yeye ni mtanzania hayo mambo ya marekani yanamuhusu nini mbona wamerekani hawaangaiki na mambo yetu mnaotoa mapovu ni baadhi ya watanzania kama wewe wenye chuki na husda kijana kashakupiga gape kubwa ya mafanikio pambana na wewe uwe na maisha ya maana kama yeye kuliko kuonesha chuki za waziwazi juu yake.Mzee baba ungekuwa una hela usingekuwa unaangaika kuongelea maisha ya watu humu Jf wewe tangu ujue hiyo bendera kiasi Cha hela umefaidika nacho ingekuwa Diamond ni mzungu hoja kidogo ingemake sense
 
1. Bwana mdogo, mimi ninasihi marekani mwaka wa 28 huu, kwa hiyo ninaijua Marekani vizuri sana. xWanamuziki wa kitanzania wanapokuja kupiga huku ni sisi ambao huwa tunawapa support. Angekuwa anaijua maana ya confederate flag au tabia za za cowboy asingeviweka katika video yake. Hakuna mmarekani mwenye akili timamu anayeitumia au kuishabikia conferedate flag na symbolza zake ispokuwa wabaguzi htu; na kwa hali hiyo hakuna mtu mweusi hata mmoja anayeweza kutumia confederate flag kwa namna yoyote ya kuitukuza labda kama anataka wimbo huo unapinga ubaguzi. Yeye kwenda mareekani na kuishia hotelini na kwenye kumbi laizoandaliwa haina maana kuwa tayari anajua kila kitu kuhusu marekani. Kwa vile na wewe huji ila unadhani kwa vile diamond keshaneda mrakeni kwa hiyo anajua kila kitu, basi elewa kuwa watu wa confederate ni sawa kabisa na watu wa Nazi ya hitler ambao huamni kuwa watu wasiokuwa weupe siyo binadamu kamili.
View attachment 2130655

2. Hiyo ya kupiga kwenye Grammy na wewe limbukeni inakusumbua sana ukidhani kuwa ndiyo mwisho wa anga na kuamaini kuwa kwa vile alipiga pale, basi kila kitu anachofanya ni sahihi- yaano Bposi hakosei. Usitegeneze mzingira kuwa Grammy waliona wimbo huo wakasema ni mzuri hivyo wakamwomba Diamnd awapigie bila kuelewa kuwa ni Diamnd ndiye aliyejiandiska pale Grammys global Spin ili atambulishe wimbo wake huo mpya, na akakubaliwa. Wakati huo bado alikuwa hajautoa na wala ulikuwa haujulikani, na hata video hiyo haikuwapo. Siyo kweli kuwa grammy waliona kuwa huo ni wimbo mzuri "wakamuomba awapigie" kama unavyotaka kutunganzaia. Grammy Global Spin digital ni program waliyoaianzisha mwaka huu ili kutoa mwanya kwa muziki wa dunia nzima kusikilizwa online, watu wengi wametumia mwanya huo. Hata wewekama ni mwanamuziki unaweza kujiandikishapale na kuomba kutambulisha muziki wako . Kuna vigezo utatakiwa kuvitekeleza, kama vile kuwa na stream za kiasi fulani ideo online, lakini hawaji kukutafuta wao binafsi, bali unajitangaza kwao wewe mwenyewe.

3. Flash hiyo kuonekana muda mfupi siyo issue kabisa katika nyimbo hizo zinazo-run kwa dakika mbili na nusu tu; what matters ni hiyo glrofication ya confederate symbols. Kuwa directed na mtu wa South Africa siyo warrant ya kufanya makosa.

4. Ni busara sana kukubali kuwa kuna makosa yalifanyika, kuliko kutetea makosa hayo kw kutumia vigezo hafififu kama ulivyotoa. Ni afdahali angesema kuw wakati anarekodi hakuobna kuwa symbols hizo zilikuwapo, kuliko kutetea kuwa yeye anaijua marekani kuliko wanaocomment. Huyo Wakazi aliyemkosa kwa mara ya kwanza yeye kasoma na kaishi Marekani kwa takriban miaka kumi kabla hajarudi Tanzania kufanya muziki, kwa hiyo alikosoaa akiwa anajua kabisa anasema nini.
Mbona mnan'gania sana kumbana Mondi badala ya kuuliza Director au producer wa video ni nani? Mnajua uwezekano mkubwa yeye hajui kinachoendelea kwa hayo mabendera. Ye anajua urembo tu!!!!!!!
So mngeanzisha uzi kujiuliza Director au Producer ni nani? Au mkienda mbali basi mumlaumu meneja sio msanii. Na ma vixen mtawalaumu? Acheni izo wakuu!!!!!
 
Mbona mnan'gania sana kumbana Mondi badala ya kuuliza Director au producer wa video ni nani? Mnajua uwezekano mkubwa yeye hajui kinachoendelea kwa hayo mabendera. Ye anajua urembo tu!!!!!!!
So mngeanzisha uzi kujiuliza Director au Producer ni nani? Au mkienda mbali basi mumlaumu meneja sio msanii. Na ma vixen mtawalaumu? Acheni izo wakuu!!!!!
Nilitoa comment ya kawaida kuhusu wimbo kama nilivyowahi kuta kuhusu nwimbo wowote, lakini huyu bwana alinijibu vibaya, ndiyo maana nikamrudia. Comments zangu kuhusu nyimbo mbalimbali zimo humu, siyo nyimbo za diamond tu. Inategemea watu wanakuwa wanaongelea nini.
 
1. Bwana mdogo, mimi ninasihi marekani mwaka wa 28 huu,
Umeulizwa?!
kwa hiyo ninaijua Marekani vizuri sana.
Kuna aliyekuambia huijui Marekani?
Wanamuziki wa kitanzania wanapokuja kupiga huku ni sisi ambao huwa tunawapa support. Angekuwa anaijua maana ya confederate flag au tabia za za cowboy asingeviweka katika video yake.
Nimekuuliza... Diamond ni mshamba ambae hajaenda shule! Je, na Director wa hiyo video na mwenyewe ni mshamba asiyeenda shule?

Jibu hapo kwanza!!!

Na usisahau,

Hoja ya msingi hapa ni baseless accusations kwamba ni ushamba na kutokwenda shule ndo maana video ina conf flag wakati mtu yeyote mwenye positive mind ataona wazi kwamba hiyo ni editing error!

GoT inayoelezea story ya miaka mia kadhaa iliyopita mwaka juzi tuliona scene ikiwa na starbucks cup na watu wanaoongozwa na positivity walichukulia ni editing error
Hakuna mmarekani mwenye akili timamu anayeitumia au kuishabikia conferedate flag na symbolza zake ispokuwa wabaguzi htu;
Kwani Diamond ni Mmarekani? We jamaa vp?
na kwa hali hiyo hakuna mtu mweusi hata mmoja anayeweza kutumia confederate flag kwa namna yoyote ya kuitukuza labda kama anataka wimbo huo unapinga ubaguzi.
Hivi unajua maana ya kutukuza kitu wewe?!

Yaani African Americans wakiwa in confederation flag basi wanafanya hivyo ili kupinga ubaguzi?! Acha uongo wako bhana!! Not every African American is driven by African American paranoia!!

Wapo wanaovaa makusudi lakini wakiona makelele ndo wanasingizia walivaa kwa sababu ya kupinga ubaguzi!

Na wapo wengine hadi kesho wanaoona confederate flag as a Southern Pride! Na hata haya mambo ya kuichukulia kama racism symbol yanakuzwa sana miaka hii!
Yeye kwenda mareekani na kuishia hotelini na kwenye kumbi laizoandaliwa haina maana kuwa tayari anajua kila kitu kuhusu marekani.
Kwahiyo wewe ndo unajua kila kitu kuhusu Marekani?!
Kwa vile na wewe huji
Ulikuwa unajaribu kusema nini hapa?
ila unadhani kwa vile diamond keshaneda mrakeni kwa hiyo anajua kila kitu,
Acha ushamba wa kujifanya wewe ndo unajua kila kitu!
basi elewa kuwa watu wa confederate ni sawa kabisa na watu wa Nazi ya hitler ambao huamni kuwa watu wasiokuwa weupe siyo binadamu kamili.
Kabisa umeona hicho ndo cha kunielimisha mimi?

Ama kweli wonders will never cease!
Ndo maana nikakuuliza... unajua maana ya kutukuza kitu?

Sasa hiyo unaanzaje kufananisha na kitu kilichotokea kwenye video just for a second?!
2. Hiyo ya kupiga kwenye Grammy na wewe limbukeni inakusumbua sana ukidhani kuwa ndiyo mwisho wa anga na kuamaini kuwa kwa vile alipiga pale, basi kila kitu anachofanya ni sahihi yaano Bposi hakosei.
Ulimbukeni ndo huo ambao hakuna aliyekuuliza unaishi wapi lakini oh, nimeishi Marekani kwa miaka 28, na ndo unadhani unafahamu kila kitu!!
Usitegeneze mzingira kuwa Grammy waliona wimbo huo wakasema ni mzuri hivyo wakamwomba Diamnd awapigie bila kuelewa kuwa ni Diamnd ndiye aliyejiandiska pale Grammys global Spin ili atambulishe wimbo wake huo mpya, na akakubaliwa. Wakati huo bado alikuwa hajautoa na wala ulikuwa haujulikani, na hata video hiyo haikuwapo.
We jamaa bhana!!

Wapi nimesema Grammy waliona wimbo ndo wakasema ni mzuri?! Nafuatilia muziki kuliko wewe, and been in that industry before kwahiyo ni kiroja kusema eti blah blah nisidhani!!
Siyo kweli kuwa grammy waliona kuwa huo ni wimbo mzuri "wakamuomba awapigie" kama unavyotaka kutunganzaia. Grammy Global Spin digital ni program waliyoaianzisha mwaka huu ili kutoa mwanya kwa muziki wa dunia nzima kusikilizwa online, watu wengi wametumia mwanya huo.
Huu sasa ni ulevi!

Unaweza kuonesha ni wapi nimesema Grammy waliona huu wimbo ni mzuri?!Acha kujaza server bhana kwa kuandika vitu ambavyo havipo!
Hata wewekama ni mwanamuziki unaweza kujiandikishapale na kuomba kutambulisha muziki wako . Kuna vigezo utatakiwa kuvitekeleza, kama vile kuwa na stream za kiasi fulani ideo online, lakini hawaji kukutafuta wao binafsi, bali unajitangaza kwao wewe mwenyewe.
Sasa hiyo inahusiana nini na ambacho niliandika?
3. Flash hiyo kuonekana muda mfupi siyo issue kabisa katika nyimbo hizo zinazo-run kwa dakika mbili na nusu tu; what matters ni hiyo glrofication ya confederate symbols. Kuwa directed na mtu wa South Africa siyo warrant ya kufanya makosa.
Hii hutokea pale Mmarekani wa Kimatumbi anapojiona anaifahamu sana Marekani na Wamarekani wakati Mnyama Busta, a NY Native akisema:-
Busta.png

4. Ni busara sana kukubali kuwa kuna makosa yalifanyika, kuliko kutetea makosa hayo kw kutumia vigezo hafififu kama ulivyotoa. Ni afdahali angesema kuw wakati anarekodi hakuobna kuwa symbols hizo zilikuwapo, kuliko kutetea kuwa yeye anaijua marekani kuliko wanaocomment. Huyo Wakazi aliyemkosa kwa mara ya kwanza yeye kasoma na kaishi Marekani kwa takriban miaka kumi kabla hajarudi Tanzania kufanya muziki, kwa hiyo alikosoaa akiwa anajua kabisa anasema nini.
Yaani aseme yote hayo kuwaridhisha nyie, ama?!

What's even more interesting ni kwamba amewaapuza!!

That's one but two, hakuna asiyemjua Wakazi! Wakazi aliyaanza kufahamika zaidi baada ya ku-perform kwenye show ya BBA! Kwa sasa ana-trend kwa u-much know wa kupenda kukosoa wenzake zaidi kuliko kufahamika kupitia muziki!
 
Nilitoa comment ya kawaida kuhusu wimbo kama nilivyowahi kuta kuhusu nwimbo wowote, lakini huyu bwana alinijibu vibaya, ndiyo maana nikamrudia. Comments zangu kuhusu nyimbo mbalimbali zimo humu, siyo nyimbo za diamond tu. Inategemea watu wanakuwa wanaongelea nini.
Nimekujibu vibaya wapi?!

Unaweza kuonesha sentensi au paragraph niliyokuwa nimekujibu vibaya?

Au niliposema wengine hata Nairobi hawaijui lakini wanajifanya kuujua u-Cowboy kuliko wote ndo ukadhani niliku-target wewe ndo maana kuanza na kuanza tu "oh, nimeishi Marekani kwa miaka 28",

Yaani kwa mara ya kwanza leo nimeona post lako reeeeeefu ambalo lau kama ungekuwa unaandika kwa kuacha space kama nifanyavyo basi lingeonekana refu maradufu kumbe yote hiyo ni katika ku-prove jambo?!

Unafeli mzee...
 
Huo ndio ujinga wako kuabudu hela. na nadhani ndiyo sababu inayokufanya usione makosa yake kwa vile unajua ana hela nyingu. Wewe unaamnini kuwa yeye ana hela kuliko wote wanokosa video hiyo; je unajua mimi nina hela kiasi gani? Je unajua ninaishi vipi? unajua familia yangu inaishi vipi?

WWewe na wote wanotetea, mnapozidi kutetea makosa hayo mnazidi kumharibia kwani mnazidi kuyatangaza makos hayo. Ni afadhali mngenyamaza tu kuyaacha yaishe yenyewe, ila hii ya kujaribu kupigana vita na kila anyeongelea makosa hayo sidhani kama mnampa faida yoyote.
Una machungu sana kuliko huyu mwamba hapa chini 👇👇👇👇👇
Busta.png
 
Back
Top Bottom