JAMANI serikali yetu kweli hamnazo, mpaka sasa naandika kwenye ukurasa huu maiti za ajali ya meli Zanzibar bado zinaelea majini, kwa mujibu wa waokoaji wanaitupia lawama serikali kwa kushidwa kutoa mafuta kwa ajili ya meli na boti zilizojitolea kwa ajili ya uopoaji wa maiti.
Taarifa fupi ya...
JAMANI, HIVI NIKIGHUSHI KITAMBULISHO CHA SHULE, KAZI KWA JINA FEKI NA PICHA FEKI ZA KWENYE MTANDAO KISHA NIKAMPA MTU ANISAJILIE LINE MPYA kisha nijitumie sms kwenye line yangu ya zamani HAIWEZEKANI?, huyu jamaa kafanya hako kamchezo teheteheee sisi wanjanja tumemgundua aibuuuuuuuuuuu CCM...
mimibaba unaujua hoja ya mleta hoja ni nzuri but alichokosea ni kuingiza masuala ya mgombea wa CHADEMA kuoa kogwa kama moja ya kigezo wanachoona kinafaa wananchi wamchague huyo waliyempendekeza hii ni hatari kesho tutaambiwa UCHAGUE MBUNGE WA KABILA LAKO, haya ndiyo Mwal NYRERERE aliyakataa...
Mpo sawa lakini napinga wazo lenu la kuwa huyo mgombea wenu mnayetaka achukue ubunge 2015 kupitia CHADEMA eti kaoa kogwa, hayo ni mawazo finyu tena yasiyofaa kuchukuliwa kama kigezo cha kuchagua kiongozi msafi na bora.
Huu ni ubaguzi unaopaswa kupigwa kwa nguvu zote, mwanamke mstarabu na makini...
kIUKWELI NIMEMSIKILIZA SANA MBOWE, HAKUKUBALI KUTOKA MOYONI , ALIJUA HATA WAPINZANI WAKIKATA CCM WATAIPITISHA KWA KURA YA NDIYO , HIVYO ALIJUA HARAKATI ZAO ZISINGEFIKA MBALI, NDIO MANA AKAKUBALI TENA KWA SHINGO UPANDE HUKU AKIWAONYA CCM KUTHAMINI KATIBA KULIKO VYAMA VYA SIASA
Wewe kakalende naona hauko makini kufuatilia taarifa, takribani wiki tatu wanaharakati wamefanya kazi kubwa sana kwa kuongea na madaktari, serikali na kutoa matamko mbalimbali kuishinikiza serikali kuwasikiliza madaktari na kuwapa wanachokitaka, juzi wameandamana na kuipa serikali masaa kadhaa...
]kama lusekero ana uchungu na maisha ya watanzania wanaokosa huduma ya afya pale muhimbili basi auze mali zake zote yakiwemo magari ya kifahari, nyumba na mashamba yake kisha awape wagojwa hizo hela wakatibiwe private kwanza ni zambi kumwambia mwenzako muuaji je yeye ni msafi kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.