Mbona hili John Tendwa halizungumzii

kitalolo

JF-Expert Member
Dec 4, 2006
1,827
708
Baada ya fukuza fukuza ndani ya vyama vya siasa, tulishuhudia baadhi ya watu wasiohusika na migogoro hiyo wakijaribu kulizungumzia swala hilo kwa jinsi walivyoona inafaa, na baadhi yao walionyesha kutokukubaliana na halia hiyo kwa madai kuwa ikiwa fukuzafukuza ndani ya vyama itaendelee itaigharimu sana serekali kurudi kwenye uchaguzi mioni mwao alikuwa msajili wa vyama vya siasa John Tendwa.

baada a kutathimini kwa kina kuhusu kifo cha aliyechaguliwa kuwa mbunge wa arumeru mashariki Jeremia sumari nikajikuta nikipata sali ambalo nafikiri kwa kigezo cha John tendwa Basi inabidi serekali ilitolee maamuzi ili kuizuia serekali kurudi kwenye uchaguzi na hivyo kuingia gharama zitokanazo na uchaguzi baada ya kifo cha mbunge baada ya kuchaguliwa. Hoja hapa ni nini? inasemana kuwa tangu wakati wa kampeni Mh. Sumari alikuwa kiumwa hata kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni lakini ccm kwa kulijua hili iliendela na mchakato wa kampeni bila kuzingatia afya ya mgombea, na sasa kwa mujibu wa John tendw ni kwamba serekali itaingia gharama za uchaguzi kutokana na kifo cha sumari je serekali na ccm hawakuona afya ya mh. wakati wa mchakato wa kumchagua mgombea na wakati wa kampeni na hivyo ili kuinusuru serekali na kuingia gharama za uchaguzi zitakazotekea baada ya ya kifo hivyo basi kumteua mtu mwingine?

Au waheshimi Tendwa na werema mtusaidi kupeleka hoja bungeni na itungwe sheria itakayolazimisha kuchunguza afya ya mgombea ili ikithibitiswa kuwa ni mgonjwa basi asiteuliwe kugombea nafasi ya uongozi kwa kuepeka kuja kushindwa kuwatumikia wananchi waliomchagua, na ikiwa ugonjwa ukampelekea mahuti basi, tutakuwa tumeiokoa serekali na gharama zisizotarajiwa za kurejea uchaguzi.

Haswa ikizingatiwa kuwa tumekwishaona dalili za baadhi ya viongozi wanaotangazwa kuwa wako mstari wa mbele kuichukua ikilu 2015 afya zao hata ukiwatazama tu kwa macho wanaonyesha kuwa ni dhaifu na kuna mashaka ikiwa watafika hiyo 2014 sasa ikiwa watafika maana sisi sio miungu je tuwape dhamana ya kuingoza hii nchi? na je ikitokea kutokana na afya zao baada ya kupewa uongozi wa nchi mauti ikawakumba je serekali haitaingia gharama za kurejewa kwa uchaguzi kwa mujibu wa tendwa kwamba kufukuzana kwenye chama kutaipelekea serekali kurejea uchaguzi na hivyo kuingia gharama, kama ndivyo je ccm haioni iko haja ya kutunga sheria ya dharura kama ilivyotungwa ile ya uspika kwamba sasa ni zamu ya wanawake seria hiyo itumike kumzuia mgombea mwenye afya yenye mgogoro kugombea nafasi yoyote ili kuepuka kurudiwa kwa uchaguzi na kuiingizia serekali gharama na pesa hizo zitakazopatikana zikatumika kulipana posho watakapokuwa wanaudhuria vikao vya bunge?
Na endapo ikatokea kiongozi kufariki baada ya uchaguzi iwe ni kwa mapenzi ya Mungu tu?

Hii pia itakuwa faida ya ccm kwani itakuwa imetumia njia rahisi kuwaengua baadhi ya magamba vinganganizi vinavyowania kuiteka ikulu 2015 .

Nadhani mko aware kwamba gamba moja ambalo linatanganza nia kwa nguvu kuelekea ikulu hali ya afya yake sio nzuri kihivyo hata kwa kumwangalia tu anaoneka ni dhaifu sana na aliyepoteza uwezo wa kimwili.

Think deep
 
hapo umeronga, na isiwe kwa wagojwa tu, uwekwe mfumo ambao pia utasaidia kuondoa gharama za uchaguzi hata kama mtu kafa kwa ajali
 
hapo umeronga, na isiwe kwa wagojwa tu, uwekwe mfumo ambao pia utasaidia kuondoa gharama za uchaguzi hata kama mtu kafa kwa ajali

umeonaehee ila kila mahali iyo sheria isimwonee hata wa chama kimoja maana mi nashangaa eti igunga ndiko walikojifunzia gharama za uchaguzi? mbona wamefungua kesi kibao mahakani kupinga baadhi ya majimbo yaliyochukuliwa na upinzania kama Arusha? Je ikiwa mahakama itayatengua matokeo ya ubunge wa Arusha kutakuwa na gharama za kurejewa kwa uchaguzi?
 
nkubaliana na wewe ila nina hofu na kambi ya ccm.
ni nani atakaekuwa mzima?
ukiwapima ccm wote ni wagonjwa.hapo wapinzani watapeta kiulainiiiiiii
 
mimi nikijuacho ni kuwa kila mtu anaumwa au ni mgojwa mtarajiwa. hata wewe mleta hi thread. kwa hiyo sioni logic. Ila hii fukuzafukuza katika vyama kama walivyofanya chadema-arusha, nccr-kafulila na cuf wawi kwa hamadi si busara hata kidogo. This is a wastage of our resources. natamani sheria ingebadilishwa leo hii ili tuziokoe kodi zetu. kwa kweli ni ujinga.
 
mimi nikijuacho ni kuwa kila mtu anaumwa au ni mgojwa mtarajiwa. hata wewe mleta hi thread. kwa hiyo sioni logic. Ila hii fukuzafukuza katika vyama kama walivyofanya chadema-arusha, nccr-kafulila na cuf wawi kwa hamadi si busara hata kidogo. This is a wastage of our resources. natamani sheria ingebadilishwa leo hii ili tuziokoe kodi zetu. kwa kweli ni ujinga.

Hilo ndilo tatizo sugu tuko baadhi yetu tunajijua kabisa kuwa tu wagonjwa sasa kwanini tukagombee nafasi za uongozi huku tukijua kuwa tutakuja kulazimisha kurudiwa kwa uchaguzi .
inawezekana kweli hata mimi ni mgonjwa ila sigombei nafasi yoyote niko najitahidi kuimarisha afya yangu niweze kukabiliana na kupanda kwa gharama za maisha

Turudi nyuma tujiulize gharama zilizotumika kwenda kumtibu mzee st Thomas ili hali alipokuwa anaondoka mwenyewe alisema "UGONJWA HUU SITAPO NAOMBA WATANZANIA MNIOMBEE KWA MUNGU" Je hakukuwa na haja ya kumwacha hapa nyumbani ili kupunguza garama maana naamini kuna gharama zililipwa kule hosp na gharama za kuusafirisha mwili kuurejesha nyumbani, fedha hizi serekali ingeweza kuongeza safari za muheshimiwa kwenda kuombea misaada nje na kuwashawishi wawekezaji kuja kuwekeza kwenye nchi maskini. sijui na hao wawekezaji inakuwa waje kuwekeza wakati tunawaambia nchi hii ni maskini
 
Baada ya fukuza fukuza ndani ya vyama vya siasa, tulishuhudia baadhi ya watu wasiohusika na migogoro hiyo wakijaribu kulizungumzia swala hilo kwa jinsi walivyoona inafaa, na baadhi yao walionyesha kutokukubaliana na halia hiyo kwa madai kuwa ikiwa fukuzafukuza ndani ya vyama itaendelee itaigharimu sana serekali kurudi kwenye uchaguzi mioni mwao alikuwa msajili wa vyama vya siasa John Tendwa.

baada a kutathimini kwa kina kuhusu kifo cha aliyechaguliwa kuwa mbunge wa arumeru mashariki Jeremia sumari nikajikuta nikipata sali ambalo nafikiri kwa kigezo cha John tendwa Basi inabidi serekali ilitolee maamuzi ili kuizuia serekali kurudi kwenye uchaguzi na hivyo kuingia gharama zitokanazo na uchaguzi baada ya kifo cha mbunge baada ya kuchaguliwa. Hoja hapa ni nini? inasemana kuwa tangu wakati wa kampeni Mh. Sumari alikuwa kiumwa hata kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni lakini ccm kwa kulijua hili iliendela na mchakato wa kampeni bila kuzingatia afya ya mgombea, na sasa kwa mujibu wa John tendw ni kwamba serekali itaingia gharama za uchaguzi kutokana na kifo cha sumari je serekali na ccm hawakuona afya ya mh. wakati wa mchakato wa kumchagua mgombea na wakati wa kampeni na hivyo ili kuinusuru serekali na kuingia gharama za uchaguzi zitakazotekea baada ya ya kifo hivyo basi kumteua mtu mwingine?

Au waheshimi Tendwa na werema mtusaidi kupeleka hoja bungeni na itungwe sheria itakayolazimisha kuchunguza afya ya mgombea ili ikithibitiswa kuwa ni mgonjwa basi asiteuliwe kugombea nafasi ya uongozi kwa kuepeka kuja kushindwa kuwatumikia wananchi waliomchagua, na ikiwa ugonjwa ukampelekea mahuti basi, tutakuwa tumeiokoa serekali na gharama zisizotarajiwa za kurejea uchaguzi.

Haswa ikizingatiwa kuwa tumekwishaona dalili za baadhi ya viongozi wanaotangazwa kuwa wako mstari wa mbele kuichukua ikilu 2015 afya zao hata ukiwatazama tu kwa macho wanaonyesha kuwa ni dhaifu na kuna mashaka ikiwa watafika hiyo 2014 sasa ikiwa watafika maana sisi sio miungu je tuwape dhamana ya kuingoza hii nchi? na je ikitokea kutokana na afya zao baada ya kupewa uongozi wa nchi mauti ikawakumba je serekali haitaingia gharama za kurejewa kwa uchaguzi kwa mujibu wa tendwa kwamba kufukuzana kwenye chama kutaipelekea serekali kurejea uchaguzi na hivyo kuingia gharama, kama ndivyo je ccm haioni iko haja ya kutunga sheria ya dharura kama ilivyotungwa ile ya uspika kwamba sasa ni zamu ya wanawake seria hiyo itumike kumzuia mgombea mwenye afya yenye mgogoro kugombea nafasi yoyote ili kuepuka kurudiwa kwa uchaguzi na kuiingizia serekali gharama na pesa hizo zitakazopatikana zikatumika kulipana posho watakapokuwa wanaudhuria vikao vya bunge?
Na endapo ikatokea kiongozi kufariki baada ya uchaguzi iwe ni kwa mapenzi ya Mungu tu?

Hii pia itakuwa faida ya ccm kwani itakuwa imetumia njia rahisi kuwaengua baadhi ya magamba vinganganizi vinavyowania kuiteka ikulu 2015 .

Nadhani mko aware kwamba gamba moja ambalo linatanganza nia kwa nguvu kuelekea ikulu hali ya afya yake sio nzuri kihivyo hata kwa kumwangalia tu anaoneka ni dhaifu sana na aliyepoteza uwezo wa kimwili.

Think deep
Nadhani una maana kwamba watanzania wenye hali hizo wasipate nafasi kama kigezo cha kuokoa gharama zinazoweza kujitokeza pale watakapopote maisha. Nadhani hapo umepotea, ujue kuna haki za binadamu, kufanya hivyo utakua unawanyanyapaa na ni kinyume na katiba ya nchi
 
Nadhani una maana kwamba watanzania wenye hali hizo wasipate nafasi kama kigezo cha kuokoa gharama zinazoweza kujitokeza pale watakapopote maisha. Nadhani hapo umepotea, ujue kuna haki za binadamu, kufanya hivyo utakua unawanyanyapaa na ni kinyume na katiba ya nchi
katiba ya double standard? ni wapi kwenye katiba kunaposema kuwa akifukuzwa wa upinzani inakuwa gharama kwa serekali akifukuzwa wa magama hakuna gharama? chunguza kwa makini nini ninachomaanisha hapo. au kuna sehemu kwenye katiba kunaposema kuwa sasa uspika ni zamu ya mwanamke?
Kunya anye bata akinya kuku kaharisha ehee

kwni vyama vya upinzania havina katiba inayoweka bayana misingi na mipaka ya mwanachama bila kujali kuwa ni kiongozi wa ngazi yoyote au ni mwanachama tu?
sasa kwanini tuziingilie katiba za vyama wakati wanatekeleza katika kidemokulaishia? Hii ndiyo hoja yangu ya msingi hizo nyingine si-hasa tu
 
Nadhani una maana kwamba watanzania wenye hali hizo wasipate nafasi kama kigezo cha kuokoa gharama zinazoweza kujitokeza pale watakapopote maisha. Nadhani hapo umepotea, ujue kuna haki za binadamu, kufanya hivyo utakua unawanyanyapaa na ni kinyume na katiba ya nchi

Haki gani hizo unazoongelea? ukienda kusoma Russia, India etc lazima uwe tested for HIV, TB, etc ukikutwa positive kesho yake unapindishwa ndege kurudi Bongo.

Ukiwa short listed kufanya interview kwenya balozi za UK, USA lazima kwanza uwe tested for HIV, ukiwa positive hata interview hiyo hufanyi.

Kwanini basi mtu anye aspire high post of this country asiwe tested for chronic diseases like HIV/AIDS, cancer, diabetes, nitaacha BP kwasababu tutakosa wagombea, if the question is to serve money?!
 
Haki gani hizo unazoongelea? ukienda kusoma Russia, India etc lazima uwe tested for HIV, TB, etc ukikutwa positive kesho yake unapindishwa ndege kurudi Bongo.

Ukiwa short listed kufanya interview kwenya balozi za UK, USA lazima kwanza uwe tested for HIV, ukiwa positive hata interview hiyo hufanyi.

Kwanini basi mtu anye aspire high post of this country asiwe tested for chronic diseases like HIV/AIDS, cancer, diabetes, nitaacha BP kwasababu tutakosa wagombea, if the question is to serve money?!

yes say it again
 
Mm binafsi naona suluhisho ni hili! akifa mbunge kabla ya kipindi chake kuisha ateuliwe mwingine na chama husika bila ya kufanyika uchaguzi ili aendelee pale alipoishia yule marehemu na tuepuke gharama za chaguzi ndogo. tukisema kucheki afya ya mgombea kama mtoa mada anavyoshauri tutachemka tu! sababu hakuna ajuaye siku ya kufa, pia kuugua sio kufariki, anaweza akawa mgonjwa sana kisha akapona, vile vile mtu anaweza akawa mzima wa afya na akafariki ghafla kinyume na inavyotarajiwa! Masuala ya kifo ajuaye ni mola pekee!! mbona kikwete anatuchagulia wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na tunakaa nao hivyo hivyo kiroho ngumu!
 
Baada ya fukuza fukuza ndani ya vyama vya siasa, tulishuhudia baadhi ya watu wasiohusika na migogoro hiyo wakijaribu kulizungumzia swala hilo kwa jinsi walivyoona inafaa, na baadhi yao walionyesha kutokukubaliana na halia hiyo kwa madai kuwa ikiwa fukuzafukuza ndani ya vyama itaendelee itaigharimu sana serekali kurudi kwenye uchaguzi mioni mwao alikuwa msajili wa vyama vya siasa John Tendwa.

baada a kutathimini kwa kina kuhusu kifo cha aliyechaguliwa kuwa mbunge wa arumeru mashariki Jeremia sumari nikajikuta nikipata sali ambalo nafikiri kwa kigezo cha John tendwa Basi inabidi serekali ilitolee maamuzi ili kuizuia serekali kurudi kwenye uchaguzi na hivyo kuingia gharama zitokanazo na uchaguzi baada ya kifo cha mbunge baada ya kuchaguliwa. Hoja hapa ni nini? inasemana kuwa tangu wakati wa kampeni Mh. Sumari alikuwa kiumwa hata kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni lakini ccm kwa kulijua hili iliendela na mchakato wa kampeni bila kuzingatia afya ya mgombea, na sasa kwa mujibu wa John tendw ni kwamba serekali itaingia gharama za uchaguzi kutokana na kifo cha sumari je serekali na ccm hawakuona afya ya mh. wakati wa mchakato wa kumchagua mgombea na wakati wa kampeni na hivyo ili kuinusuru serekali na kuingia gharama za uchaguzi zitakazotekea baada ya ya kifo hivyo basi kumteua mtu mwingine?

Au waheshimi Tendwa na werema mtusaidi kupeleka hoja bungeni na itungwe sheria itakayolazimisha kuchunguza afya ya mgombea ili ikithibitiswa kuwa ni mgonjwa basi asiteuliwe kugombea nafasi ya uongozi kwa kuepeka kuja kushindwa kuwatumikia wananchi waliomchagua, na ikiwa ugonjwa ukampelekea mahuti basi, tutakuwa tumeiokoa serekali na gharama zisizotarajiwa za kurejea uchaguzi.

Haswa ikizingatiwa kuwa tumekwishaona dalili za baadhi ya viongozi wanaotangazwa kuwa wako mstari wa mbele kuichukua ikilu 2015 afya zao hata ukiwatazama tu kwa macho wanaonyesha kuwa ni dhaifu na kuna mashaka ikiwa watafika hiyo 2014 sasa ikiwa watafika maana sisi sio miungu je tuwape dhamana ya kuingoza hii nchi? na je ikitokea kutokana na afya zao baada ya kupewa uongozi wa nchi mauti ikawakumba je serekali haitaingia gharama za kurejewa kwa uchaguzi kwa mujibu wa tendwa kwamba kufukuzana kwenye chama kutaipelekea serekali kurejea uchaguzi na hivyo kuingia gharama, kama ndivyo je ccm haioni iko haja ya kutunga sheria ya dharura kama ilivyotungwa ile ya uspika kwamba sasa ni zamu ya wanawake seria hiyo itumike kumzuia mgombea mwenye afya yenye mgogoro kugombea nafasi yoyote ili kuepuka kurudiwa kwa uchaguzi na kuiingizia serekali gharama na pesa hizo zitakazopatikana zikatumika kulipana posho watakapokuwa wanaudhuria vikao vya bunge?
Na endapo ikatokea kiongozi kufariki baada ya uchaguzi iwe ni kwa mapenzi ya Mungu tu?

Hii pia itakuwa faida ya ccm kwani itakuwa imetumia njia rahisi kuwaengua baadhi ya magamba vinganganizi vinavyowania kuiteka ikulu 2015 .

Nadhani mko aware kwamba gamba moja ambalo linatanganza nia kwa nguvu kuelekea ikulu hali ya afya yake sio nzuri kihivyo hata kwa kumwangalia tu anaoneka ni dhaifu sana na aliyepoteza uwezo wa kimwili.

Think deep

Ww mwenyewe wakati mwajiri wako anakuajiri anajua kuwa ni mgonjwa, sasa na ww kwa nn hukuikataa hiyo ajira na umeamua kuichukua ?

 
mimi nikijuacho ni kuwa kila mtu anaumwa au ni mgojwa mtarajiwa. hata wewe mleta hi thread. kwa hiyo sioni logic. Ila hii fukuzafukuza katika vyama kama walivyofanya chadema-arusha, nccr-kafulila na cuf wawi kwa hamadi si busara hata kidogo. This is a wastage of our resources. natamani sheria ingebadilishwa leo hii ili tuziokoe kodi zetu. kwa kweli ni ujinga.

Ngwendu mimi sikubaliani kufukuzana kwa visa,ila kama mtu kweli ameenda tofauti na utaratibu wa chama na jitihada zimefanyika kurekebisha zimekwama naamini ni sahihi kuchukua hatua,ni upumbavu kushindwa kuchukua hatua,naomba kukuuliza je wewe unashauri kifanyike nini wakati kila jitihada zimeshindikana????
 
Nilikuwa nasoma hiyo makala uliyoiandika ila sikuweza kuisoma yote kwani imenichefua sana, Hivi ina maana kwamba mtu akiumwa basi ni kosa, ama ina maana mtu akiumwa ni dalili kwamba atafariki kwa hiyo asishirishwe kwenye jambo lolote, ni wangapi wameumwa wakapona wewe umeumwa mara ngapi na bado ukapona na sasa una andika makala zako za ajabu huku JF:

Chunga sana kauli zako.
 
Mchaka mchaka you are right ila hoja ya Bobuk ni ya msingi. Kabla mtu hajapitishwa kugombea nafasi itabidi wapimwe afya zao and iwe lazima! In case mtu akifa baada ya kushika wadhifa then ateuliwe mbunge wa chama husika ila when disputed results are revoked by a court of law the winner of the case becomes the MP. Hii iatapunguza gharama.
 
Hili ni kweli kabisa ndio maana tunataka katiba mpya sio viraka itakayojumuisha haya yote, hata kwenye kampeni hakuudhulia sana ki vile, hii tanzania mbona watu wapo wengi sana na wanaafya zao! kwani lazima watu wale wale kila siku!!
 
Kila chama kina miiko na maadili yake na kila anayeomba uanachama lazima akubaliane na miiko na maadili ya chama.
Kila anayekwenda kinyume lazima aadhibiwe kwa mujibu wa taratibu za chama husika kutochukua hatua kwa waasi ndani ya vyama kutafanya vyama visitawalike.
Kwenye utawala wa sheria adhabu haikwepeki chamsingi watu wazingatie mipaka yao na wakuu wa vyama waache ubabe wazingatie sheria na hekima kutatua migogoro kwenye vyama vyao na ili kukwepa ghalama anapokufa mbunge aliyeshika nafasi yapili aapishwe bila kujali anatoka chama gani
 
Mimi nashangaa watu wanapotetea mtu kuvuliwa uanachama kisa eti atapoteza ubunge!!!kama hivyo ndiyo sahihi basi nadhani tunyamaze kupiga kelele kuhusu watu wanaovuja pesa za serikali na kuwataka wawajibishwe!!pale tunaongea mpaka mapuvu yanatoka mdomoni eti sheria zimevunjwa!!!vipi kuhusu kwenye chama pindi sheria zinapovunjwa!!!?kama sheria zipo ni bora zifuatwe,ni ndoto kutegemea kupata maendeleo wakati sheria zinapondwa!si kwenye siasa tu bali kila kwenye eneo la uwajibikaji.

Kuhusu suala la afya na usalama wa wabunge wetu na ili kuepuka gharama ni bora watu wangekuwa wanakaguliwa afya wakati wa uchukuaji fomu na iwepo sehemu ya kujaza,hapa sioni tatizo,mbona tunapotakiwa kuajiriwa uwa tunapima afya kwanza kabla ya kuingia kazini,hapa tatizo lipo wapi?kitu kingine wabunge wasijiendeshe wenyewe hasa kwenye safari ndefu,mi navyojua wabunge wanapewa pesa za dereva,je kama mbunge anaamua kujiendesha hizo pesa anazipeleka wapi??kwangu mimi hapo si uadilifu hata kidogo.
 
u are taliking nothing, kwani mtu akiumwa ni lazima afe? nani alijua kwamba sumari angekufa
 
Sio tu tendwa hata JF wanapaswa kutazama upya akili za waanzisha thread, manake andiko lako mtoa mada inaonyesha mukichwa hutumiki vizuri. Kila mtu atakufa na sifa za kugombea ni haki za msingi za kibinadamu na hata kama unaumwa unayohaki ya kugombea labda kama akili haiko vizuri.
 
Back
Top Bottom