kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
Baada ya fukuza fukuza ndani ya vyama vya siasa, tulishuhudia baadhi ya watu wasiohusika na migogoro hiyo wakijaribu kulizungumzia swala hilo kwa jinsi walivyoona inafaa, na baadhi yao walionyesha kutokukubaliana na halia hiyo kwa madai kuwa ikiwa fukuzafukuza ndani ya vyama itaendelee itaigharimu sana serekali kurudi kwenye uchaguzi mioni mwao alikuwa msajili wa vyama vya siasa John Tendwa.
baada a kutathimini kwa kina kuhusu kifo cha aliyechaguliwa kuwa mbunge wa arumeru mashariki Jeremia sumari nikajikuta nikipata sali ambalo nafikiri kwa kigezo cha John tendwa Basi inabidi serekali ilitolee maamuzi ili kuizuia serekali kurudi kwenye uchaguzi na hivyo kuingia gharama zitokanazo na uchaguzi baada ya kifo cha mbunge baada ya kuchaguliwa. Hoja hapa ni nini? inasemana kuwa tangu wakati wa kampeni Mh. Sumari alikuwa kiumwa hata kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni lakini ccm kwa kulijua hili iliendela na mchakato wa kampeni bila kuzingatia afya ya mgombea, na sasa kwa mujibu wa John tendw ni kwamba serekali itaingia gharama za uchaguzi kutokana na kifo cha sumari je serekali na ccm hawakuona afya ya mh. wakati wa mchakato wa kumchagua mgombea na wakati wa kampeni na hivyo ili kuinusuru serekali na kuingia gharama za uchaguzi zitakazotekea baada ya ya kifo hivyo basi kumteua mtu mwingine?
Au waheshimi Tendwa na werema mtusaidi kupeleka hoja bungeni na itungwe sheria itakayolazimisha kuchunguza afya ya mgombea ili ikithibitiswa kuwa ni mgonjwa basi asiteuliwe kugombea nafasi ya uongozi kwa kuepeka kuja kushindwa kuwatumikia wananchi waliomchagua, na ikiwa ugonjwa ukampelekea mahuti basi, tutakuwa tumeiokoa serekali na gharama zisizotarajiwa za kurejea uchaguzi.
Haswa ikizingatiwa kuwa tumekwishaona dalili za baadhi ya viongozi wanaotangazwa kuwa wako mstari wa mbele kuichukua ikilu 2015 afya zao hata ukiwatazama tu kwa macho wanaonyesha kuwa ni dhaifu na kuna mashaka ikiwa watafika hiyo 2014 sasa ikiwa watafika maana sisi sio miungu je tuwape dhamana ya kuingoza hii nchi? na je ikitokea kutokana na afya zao baada ya kupewa uongozi wa nchi mauti ikawakumba je serekali haitaingia gharama za kurejewa kwa uchaguzi kwa mujibu wa tendwa kwamba kufukuzana kwenye chama kutaipelekea serekali kurejea uchaguzi na hivyo kuingia gharama, kama ndivyo je ccm haioni iko haja ya kutunga sheria ya dharura kama ilivyotungwa ile ya uspika kwamba sasa ni zamu ya wanawake seria hiyo itumike kumzuia mgombea mwenye afya yenye mgogoro kugombea nafasi yoyote ili kuepuka kurudiwa kwa uchaguzi na kuiingizia serekali gharama na pesa hizo zitakazopatikana zikatumika kulipana posho watakapokuwa wanaudhuria vikao vya bunge?
Na endapo ikatokea kiongozi kufariki baada ya uchaguzi iwe ni kwa mapenzi ya Mungu tu?
Hii pia itakuwa faida ya ccm kwani itakuwa imetumia njia rahisi kuwaengua baadhi ya magamba vinganganizi vinavyowania kuiteka ikulu 2015 .
Nadhani mko aware kwamba gamba moja ambalo linatanganza nia kwa nguvu kuelekea ikulu hali ya afya yake sio nzuri kihivyo hata kwa kumwangalia tu anaoneka ni dhaifu sana na aliyepoteza uwezo wa kimwili.
Think deep
baada a kutathimini kwa kina kuhusu kifo cha aliyechaguliwa kuwa mbunge wa arumeru mashariki Jeremia sumari nikajikuta nikipata sali ambalo nafikiri kwa kigezo cha John tendwa Basi inabidi serekali ilitolee maamuzi ili kuizuia serekali kurudi kwenye uchaguzi na hivyo kuingia gharama zitokanazo na uchaguzi baada ya kifo cha mbunge baada ya kuchaguliwa. Hoja hapa ni nini? inasemana kuwa tangu wakati wa kampeni Mh. Sumari alikuwa kiumwa hata kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni lakini ccm kwa kulijua hili iliendela na mchakato wa kampeni bila kuzingatia afya ya mgombea, na sasa kwa mujibu wa John tendw ni kwamba serekali itaingia gharama za uchaguzi kutokana na kifo cha sumari je serekali na ccm hawakuona afya ya mh. wakati wa mchakato wa kumchagua mgombea na wakati wa kampeni na hivyo ili kuinusuru serekali na kuingia gharama za uchaguzi zitakazotekea baada ya ya kifo hivyo basi kumteua mtu mwingine?
Au waheshimi Tendwa na werema mtusaidi kupeleka hoja bungeni na itungwe sheria itakayolazimisha kuchunguza afya ya mgombea ili ikithibitiswa kuwa ni mgonjwa basi asiteuliwe kugombea nafasi ya uongozi kwa kuepeka kuja kushindwa kuwatumikia wananchi waliomchagua, na ikiwa ugonjwa ukampelekea mahuti basi, tutakuwa tumeiokoa serekali na gharama zisizotarajiwa za kurejea uchaguzi.
Haswa ikizingatiwa kuwa tumekwishaona dalili za baadhi ya viongozi wanaotangazwa kuwa wako mstari wa mbele kuichukua ikilu 2015 afya zao hata ukiwatazama tu kwa macho wanaonyesha kuwa ni dhaifu na kuna mashaka ikiwa watafika hiyo 2014 sasa ikiwa watafika maana sisi sio miungu je tuwape dhamana ya kuingoza hii nchi? na je ikitokea kutokana na afya zao baada ya kupewa uongozi wa nchi mauti ikawakumba je serekali haitaingia gharama za kurejewa kwa uchaguzi kwa mujibu wa tendwa kwamba kufukuzana kwenye chama kutaipelekea serekali kurejea uchaguzi na hivyo kuingia gharama, kama ndivyo je ccm haioni iko haja ya kutunga sheria ya dharura kama ilivyotungwa ile ya uspika kwamba sasa ni zamu ya wanawake seria hiyo itumike kumzuia mgombea mwenye afya yenye mgogoro kugombea nafasi yoyote ili kuepuka kurudiwa kwa uchaguzi na kuiingizia serekali gharama na pesa hizo zitakazopatikana zikatumika kulipana posho watakapokuwa wanaudhuria vikao vya bunge?
Na endapo ikatokea kiongozi kufariki baada ya uchaguzi iwe ni kwa mapenzi ya Mungu tu?
Hii pia itakuwa faida ya ccm kwani itakuwa imetumia njia rahisi kuwaengua baadhi ya magamba vinganganizi vinavyowania kuiteka ikulu 2015 .
Nadhani mko aware kwamba gamba moja ambalo linatanganza nia kwa nguvu kuelekea ikulu hali ya afya yake sio nzuri kihivyo hata kwa kumwangalia tu anaoneka ni dhaifu sana na aliyepoteza uwezo wa kimwili.
Think deep