HII ndo maana ya demokrasia Tanzania?

MASHOW

Member
Jan 20, 2012
34
1
Kitendo cha utungaji wa sheria bungeni kwa ile njia ya ndio na hapana ni demokrasia ya vyama vingi?sasa hivi bungeni imepita kipengele cha 17b kuhusu kuwahusisha DEO/DED/WEO/VEO kwenye mchakato wa katiba mpya.Imefikia mahali Mbowe amelazimika kushawishi wabunge wa upinzani kukubali yaishe je hii ni dalili nzuri kwa sisi wapenda maendeleo na mabadiliko ya dhati?
 
kIUKWELI NIMEMSIKILIZA SANA MBOWE, HAKUKUBALI KUTOKA MOYONI , ALIJUA HATA WAPINZANI WAKIKATA CCM WATAIPITISHA KWA KURA YA NDIYO , HIVYO ALIJUA HARAKATI ZAO ZISINGEFIKA MBALI, NDIO MANA AKAKUBALI TENA KWA SHINGO UPANDE HUKU AKIWAONYA CCM KUTHAMINI KATIBA KULIKO VYAMA VYA SIASA
 
kIUKWELI NIMEMSIKILIZA SANA MBOWE, HAKUKUBALI KUTOKA MOYONI , ALIJUA HATA WAPINZANI WAKIKATA CCM WATAIPITISHA KWA KURA YA NDIYO , HIVYO ALIJUA HARAKATI ZAO ZISINGEFIKA MBALI, NDIO MANA AKAKUBALI TENA KWA SHINGO UPANDE HUKU AKIWAONYA CCM KUTHAMINI KATIBA KULIKO VYAMA VYA SIASA

Mbowe alikuwa hana ujanja na aliisha zidiwa ujanja na kamati ya katiba. haw a jamaa wamelamba galasa badala ya dume kwa kweli. Watulie watu waendeshe nchi
 
Back
Top Bottom