Kwanini ufanye surprise
Labda hana mboga.hajapiga deki hajaosha vyombo na ubusy wa wiki. Au alikua na ratiba zake ukija mgeni lazima hizo ratiba zivuruguke.
Na kwanini unatembea njia nzima bila kumwambia mwenzio labda anataka kukufanyia maombi ukiwa njia si unajua kuna ajari nyingi njiani...
Ha ha ha ha....kawaida sana hiyo...nyingne imetokea tanki bovu jumapili ilopita..wao walikaa miaka mitatu,kijana anasema bado ana jiandaa.
Binti kafanya maamuzi magumu,kijana ana kuja juu kusha KUCHA
Kuna clip nili iona kua huko kenya kuna eneo hyo ndo tabia yao,mke kuolewa na mzungu kwa mlengo wa kusaidia familia au mume kua kama john.
Binafsi SIWEZI.
HIYO NI HOFU tu ya maisha na kujitoa ufahamU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.