Acha kabisa, hawa wanawake hawa!!

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,285
6,729
Hili tukio ni la miaka minane iliyopita lakini nimelikumbuka sana na linanifanya
niwaone hawa viumbe kuwa ni tofauti na tunavyowafikiria.

Nilikuwa nimepanga nyumba fulani maeneo ya Malawi(Yombo) hapo kuna Derevaanaishi na mkewe pia tulikuwapo wapangaji wengine wanne. Wote tulikuwa Wahuni wanawake watatu na mimi mwenyewe.

Kabla ya tukio yule Bwana (Dereva) alikuwa amesafiri kuelekea Kongo ambapo aliadimika pale nyumbani zaidi ya mwezi mmoja,kama mara mbili hivi niliwahi kumshuhudia mkewe akiingiza mwanaume ndani(Usiku) wakati jamaa akiwa safarini.

Siku ya Tukio huyu dada alikuwa ameingiza mwanaume kama alivyozowea, kumbe siku hiyo mumewe alikuwa amerudi bila taarifa. Dada mmoja wa chumba jirani akanifuata na kuniambiayeye anaondoka kwa kuogopa ushahidi. Nikamuuliza ushahidi wa nini? Akaniambia yule mke wa dereva kaingiza mwanaume na mumewe karudi hayuko mbali kamuona dukani anapata mahitaji fulani na jinsi anavyomfahamu jamaa ana hasira sana anaweza kuua. kweli haukupita muda mrefu yule jamaa akaingia.

Huku nikiwa na hofu ya kitakachotokea nikasimama mlangoni na kuchungulia, haikunipa shida kwa kuwa vyumba vyetu vilikuwa vinatazamana. Yule Mwanamke alichelewa kufungua mlango kama dakika moja hivi. Alichokifanya sasa baada ya kufungua.!

Alimrukia mumewe huku akimfunika na shuka usoni akisema Waooooooo mume wangu! Wakati anamfunika ile shuka na mumewe anahangaika kuitoa huku akilalamika kwa kusema "Acha mke wangu mi nimechoka bana" Na ndio wakati huohuo mwanaume aliyeko ndani alitumia kupita mlangoni kwa kasi bila kushtukiwa.

Yaani tukio hili halinitoki akilini na limenifanya niyaogope mapokezi ya ajabuajabu.
 
Hili tukio ni la miaka minane iliyopita lakini nimelikumbuka sana na linanifanya
niwaone hawa viumbe kuwa ni tofauti na tunavyowafikiria.

Nilikuwa nimepanga nyumba fulani maeneo ya Malawi(Yombo) hapo kuna Dereva
anaishi na mkewe pia tulikuwapo wapangaji wengine wanne. Wote tulikuwa Wahuni
wanawake watatu na mimi mwenyewe.

Kabla ya tukio yule Bwana (Dereva) alikuwa amesafiri kuelekea Kongo ambapo aliadimika pale nyumbani zaidi ya mwezi mmoja,
kama mara mbili hivi niliwahi kumshuhudia mkewe akiingiza mwanaume ndani(Usiku) wakati jamaa akiwa safarini.
Siku ya Tukio huyu dada alikuwa ameingiza mwanaume kama alivyozowea, kumbe siku hiyo mumewe alikuwa amerudi bila taarifa. Dada mmoja wa chumba jirani akanifuata na kuniambia
yeye anaondoka kwa kuogopa ushahidi. Nikamuuliza ushahidi wa nini? Akaniambia yule
mke wa dereva kaingiza mwanaume na mumewe karudi hayuko mbali kamuona dukani anapata mahitaji fulani na jinsi anavyomfahamu jamaa ana hasira sana anaweza kuua. kweli haukupita muda mrefu yule jamaa akaingia.

Huku nikiwa na hofu ya kitakachotokea nikasimama mlangoni na kuchungulia, haikunipa shida kwa kuwa vyumba vyetu vilikuwa vinatazamana. Yule Mwanamke alichelewa kufungua mlango kama dakika moja hivi. Alichokifanya sasa baada ya kufungua......!!! Alimrukia mumewe huku akimfunika na shuka usoni akisema Waooooooo mume wangu! Wakati anamfunika ile shuka na mumewe anahangaika kuitoa huku akilalamika kwa kusema "Acha mke wangu mi nimechoka bana" Na ndio wakati huohuo mwanaume aliyeko ndani alitumia kupita mlangoni kwa kasi bila kushtukiwa.

Yaani tukio hili halinitoki akilini na limenifanya niyaogope mapokezi ya ajabuajabu.
Mapokezi ya ajabu ajabu ?
Suprises hizo ha ha ha!
 
Hili tukio ni la miaka minane iliyopita lakini nimelikumbuka sana na linanifanya
niwaone hawa viumbe kuwa ni tofauti na tunavyowafikiria.

Nilikuwa nimepanga nyumba fulani maeneo ya Malawi(Yombo) hapo kuna Dereva
anaishi na mkewe pia tulikuwapo wapangaji wengine wanne. Wote tulikuwa Wahuni
wanawake watatu na mimi mwenyewe.

Kabla ya tukio yule Bwana (Dereva) alikuwa amesafiri kuelekea Kongo ambapo aliadimika pale nyumbani zaidi ya mwezi mmoja,
kama mara mbili hivi niliwahi kumshuhudia mkewe akiingiza mwanaume ndani(Usiku) wakati jamaa akiwa safarini.
Siku ya Tukio huyu dada alikuwa ameingiza mwanaume kama alivyozowea, kumbe siku hiyo mumewe alikuwa amerudi bila taarifa. Dada mmoja wa chumba jirani akanifuata na kuniambia
yeye anaondoka kwa kuogopa ushahidi. Nikamuuliza ushahidi wa nini? Akaniambia yule
mke wa dereva kaingiza mwanaume na mumewe karudi hayuko mbali kamuona dukani anapata mahitaji fulani na jinsi anavyomfahamu jamaa ana hasira sana anaweza kuua. kweli haukupita muda mrefu yule jamaa akaingia.

Huku nikiwa na hofu ya kitakachotokea nikasimama mlangoni na kuchungulia, haikunipa shida kwa kuwa vyumba vyetu vilikuwa vinatazamana. Yule Mwanamke alichelewa kufungua mlango kama dakika moja hivi. Alichokifanya sasa baada ya kufungua......!!! Alimrukia mumewe huku akimfunika na shuka usoni akisema Waooooooo mume wangu! Wakati anamfunika ile shuka na mumewe anahangaika kuitoa huku akilalamika kwa kusema "Acha mke wangu mi nimechoka bana" Na ndio wakati huohuo mwanaume aliyeko ndani alitumia kupita mlangoni kwa kasi bila kushtukiwa.

Yaani tukio hili halinitoki akilini na limenifanya niyaogope mapokezi ya ajabuajabu.

Hii filamu yako tutegemee itakuwa na episodes ngapi Mkuu?
 
Mkuu usikariri mbinu moja tu wanambinu nyng sana hawa viumbe na nikulingana na ww men ulivyo na mazngra ya om,kazn nk
Hata mimi nakumbuka nyumba yetu ilikuwa karibu na nyumba yenye wapangaj km wa3 hv na dirsha la chumba changu lilipakana na chumba cha mpangaj mmoja hv alikuwa akikaa na mwanamke sijui km walioana au vip ss yule dada ni bint mdogo enz hizo under20 alikuwa na msela mwngne yaana jamaa mgum hv msela sana na nilikuwa nikimwona kwa dirshan tu yaan nimsela sana na mume wa yule bint ni mtanashat fln hv mpole
Sasa kila J3 na j5 saa saa tatu usiku mpaka saa tano usiku ndio walikuwa wakigegedana nikawa nimekarr ratiba yao nikawa sikos show siku ikifika enz hizo nilkuwa form2 hata dem nilkuwa sina 2007 hahahahahaha umenikumbusha hil mkuu
Msela alikuwa anapigia show kwenye koch siunajua tena chumba kimoja demu analia hatar yaan kilio chaa maana na akianza saa tatu mpaka tano kml jamaa ndio anapumua anaamsha zake demu anaenda kuoga mshkaj anaacha buku buk2 imezd sana5 nilkuwa nikmskia dem analalamika
''manina zako umenisugua hiv unaniachia buku huku tena akicheka'''jamaa anasema zngne mmeo atakupa,,,, tano kamil msela anasepa yaan ilkuwa hivo mpaka wanakuja kuhama pale
Na nilikuwa nikipiga chabo ya mmehalal hata hina mvuto naskia saut ya kitanda tu nahis ilikuwa ya kizembe sana ukimchek demu huwez amin km atasalit
Hapo nilijifunza usiwe na ratiba permanent kwako maana nusu saa tu mke analiwa
 
Mkuu usikariri mbinu moja tu wanambinu nyng sana hawa viumbe na nikulingana na ww men ulivyo na mazngra ya om,kazn nk
Hata mimi nakumbuka nyumba yetu ilikuwa karibu na nyumba yenye wapangaj km wa3 hv na dirsha la chumba changu lilipakana na chumba cha mpangaj mmoja hv alikuwa akikaa na mwanamke sijui km walioana au vip ss yule dada ni bint mdogo enz hizo under20 alikuwa na msela mwngne yaana jamaa mgum hv msela sana na nilikuwa nikimwona kwa dirshan tu yaan nimsela sana na mume wa yule bint ni mtanashat fln hv mpole
Sasa kila J3 na j5 saa saa tatu usiku mpaka saa tano usiku ndio walikuwa wakigegedana nikawa nimekarr ratiba yao nikawa sikos show siku ikifika enz hizo nilkuwa form2 hata dem nilkuwa sina 2007 hahahahahaha umenikumbusha hil mkuu
Msela alikuwa anapigia show kwenye koch siunajua tena chumba kimoja demu analia hatar yaan kilio chaa maana na akianza saa tatu mpaka tano kml jamaa ndio anapumua anaamsha zake demu anaenda kuoga mshkaj anaacha buku buk2 imezd sana5 nilkuwa nikmskia dem analalamika
''manina zako umenisugua hiv unaniachia buku huku tena akicheka'''jamaa anasema zngne mmeo atakupa,,,, tano kamil msela anasepa yaan ilkuwa hivo mpaka wanakuja kuhama pale
Na nilikuwa nikipiga chabo ya mmehalal hata hina mvuto naskia saut ya kitanda tu nahis ilikuwa ya kizembe sana ukimchek demu huwez amin km atasalit
Hapo nilijifunza usiwe na ratiba permanent kwako maana nusu saa tu mke analiwa
Ha ha ha ha ha Duh!
 
Back
Top Bottom