Recent content by StraTon MemPhis GhaZar

  1. StraTon MemPhis GhaZar

    Kila mdada ana weakness ya kitu chake

    Mtoto wa kiume kujijengea ratiba kabiisa eti ubakula eat some more..... dah natilia mashaka kidogo.... Ni mtazamo tu.... hata we una wako.
  2. StraTon MemPhis GhaZar

    Apk ya Dream League soccer 2017

    Iko wap mbna siioni ....iyo ndionaitakaga
  3. StraTon MemPhis GhaZar

    Apk ya Dream League soccer 2017

    Yah... ila yangu inahitaji timing.... .hiiu power button ina wenge ukibug inajizima mazima afu kuwasha msala
  4. StraTon MemPhis GhaZar

    Apk ya Dream League soccer 2017

    Ngoja nihangaikie ujue... s4 sumsung nashndwa kupigaga screen shoot wait nitafute apps rahis ya kucapture screenshort
  5. StraTon MemPhis GhaZar

    Apk ya Dream League soccer 2017

    Mi nimemaliza kila kitu kuanzia uwanja nyasi idad ya watu mpaka wachezaji na jezi... now nina point 10000 cjui hata nazifanyia nin.... Vip hakuna sehemu zngine nizitie wadau ... au kuna game gani ingine classic ya android football ngumu ngumu kidgo
  6. StraTon MemPhis GhaZar

    Kenya yaongoza EAC kijeshi ikifuatwa na Uganda

    Kawaida tu washakufa saaana lazima wapewe priorities wasife moyo kwenye michakato ya vifo amison
  7. StraTon MemPhis GhaZar

    Kamanda Sirro na broken english

    Nimefurahi saaana ndio maaana wanasema uwe msikilizaji saaana kuliko kuwa muongeaji.... ushahaibika hapa mamamayo
  8. StraTon MemPhis GhaZar

    A day in the Buddhist college

    Huyu jamaa nilikua namueshimu saaana ila nimegundua ni muongo saaana.... Anabadirisha future kuwa past ...... bila kukumbuka present
  9. StraTon MemPhis GhaZar

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Ukibananishwa utoe ushaidi unapagaaawa........ nyie ndio munaompa taaabu melo kwa kuropoka na kujifanya muna uchungu km wazazi wa hao watu..... Kuwa na msimamo.... amini kinachoaminika na sio kusikika.
  10. StraTon MemPhis GhaZar

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    The bold we jamaa una vitu vingi saaaana....
Back
Top Bottom