ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,001
Kasera BAKBahari ipi Ukhuty?
Kasera BAKBahari ipi Ukhuty?
Kasera BAK
Nilkuwa namshangaa sanaMkuu, Chuo Kikuu hakuna General Studies. Kuna Development Studies. Mnapotunga, kumbukeni wasomaji wanafikiri pia.
Nani kakwambia 3500 mbn unaipandisha chat!!!!!????biscuit ya 3500 mtu analiwa safi
Huyu chuo hajafika kutokana na uandishi wake, ni hawa vijana waliomaliza mithihani juzi juzi hapa ya advanceMkuu, Chuo Kikuu hakuna General Studies. Kuna Development Studies. Mnapotunga, kumbukeni wasomaji wanafikiri pia.
Nani kakwambia 3500 mbn unaipandisha chat!!!!!????
Buku tatu tuuuu...
......akina ngosha wanakwambiaaa
....URUFU TATU TU.....
basi wananiibiaga 500 yanguHaa ha ha ha, nilistuka mara ya kwanza but nikadhani labda syllabus za Ndalichako zimebadirika.Mkuu, Chuo Kikuu hakuna General Studies. Kuna Development Studies. Mnapotunga, kumbukeni wasomaji wanafikiri pia.
Ulishamuoa sasa? Au bado anakula tu Eat some more
Unataka kusema thamani ya uyo mrembo ni biscuits za elf3??!Kwahiyo ulikuwa unaona umemla bure au?!
Hizo biskuti hazina gharama?!
Kala box ngap?!...kila kitu kina price mambo ya kusema love ni priceless tunadanganyaUnataka kusema thamani ya uyo mrembo ni biscuits za elf3??!
Kwann hamuaminigi love is priceless rather doesn't cost a thing