Recent content by stranger man

  1. stranger man

    Nilitaka kukuoa, umenifanya danga ukishirikiana na dada yako

    Pole mkuu siku hizi wanawake wamekuwa makambale usiwaamini sana muhimu ni kutowekeza au kulea utaishia kuumia cha msingi tembea kuna maisha zaidi ya hayo mungu atakusimamia
  2. stranger man

    USHAURI: Nataka kusafiri na Passo ya Piston 3 ina CC 990, nitaenda umbali wa Km 400

    Utafika mkuu hizi gari hazina shida ila isiwe root za mara kwa mara
  3. stranger man

    Ninunue used au niagize japan

    Mkuu chukua hata spacio yenye seat 7 achana na noah ni gari ambazo kwa sasa zimepitwa na wakati afadhali hata toyota aphad japo cc zake kubwa
  4. stranger man

    Lissu aanza kuchangiwa fedha na wananchi!

    Mkuu katika maisha kila mmoja analofanya ni sahihi jambo la busara wote hawavunji sheria kumchangia mtu ni zaidi ya nafsi na roho ya uhitaji ni hatari sana kumharass mtu kwa jambo ambalo amelifanya halivunji sheria hivi kuna watu wanatoa michango ya harusi huku kuna watoto yatima wamekosa ada...
  5. stranger man

    Tundu Lissu asimamishiwa mshahara na marupurupu yake

    Bora hivyo lakini roho yake ipo Pesa tunatafuta ila roho haitafutwi
  6. stranger man

    Mnaokunywa Serengeti lite a.k.a juice ya miwa njooni hapa

    Hahahaha Dunia kuna mambo anyway kila mtu anavyotafuta hela jasho lake analijua yeye tukikutana viti vitefu bado ni boss haijulishi anakunywa veve au prince
  7. stranger man

    Utaratibu Wa kuomba Msamaha wa Kodi Kwa Vyombo vya Usafiri Kwa Watumishi

    Tatizo hapo sio kuimport duty kipengele kinachosumbua pale kwenye CIF ya tozo ya TRA ukichukua gar ya mwaka 2011 inakuwa bei juu na CIF inakuwa juu utatolewa import duty tax ambayo kimsingi haitofautina na yule anayeagiza gari ya miaka ya nyuma bila exemption
  8. stranger man

    Taa hizi kuwaka kwenye Dashboard zinaashiria nini?

    Mi nilitembelea gar yangu baada ya kuchukua japan nilipiga tuta mikumi ikawaka hadi nauza bado taa ilikuwa inawaka licha ya kufanya marekebisho
  9. stranger man

    Visa vya matapeli na watoto wa mjini

    Pole mkuu sana mkuu
  10. stranger man

    Kama ni chaga basi mimi nimepewa na kitanda chake

    Kaka wanawake hawana shukran narudia tena wanawake hawana shukran hata marehem ruge kuna kibinti kilimuumiza sana ila tafuta pesa achana nao malengo jiwekee wewe
Back
Top Bottom