Ni Msimamo wa Chama na Serikali Kutokuongeza Mishahara ya Watumishi wa Umma?

DolphinT

JF-Expert Member
Mar 9, 2016
1,308
1,826
Nimekua nikifuatilia huko Dodoma kinachoendelea katika Bunge la bajeti na kugundua Mambo kadhaa hasa katika tasnia ya Utumishi wa Umma.

Kwa majibu waliyotoa Mheshimiwa Mkuchika na Yule Mama Mhagama Ni dhahiri kwamba suala la Maslahi ya Watumishi wa Umma Ni hisani ya serikali na chama kwa ujumla na sio kwa misingi ya sheria na kanuni za utumishi na utawala Bora.

serikali ya awamu ya Tano Tangu imeingia madarakani haijawahi hata kujaribu kuongeza Mishahara ya Watumishi wake isipokua imejificha katika kichaka Cha
1. uhakiki
2.tija
3.OPRASS
4.kukamilika kwa elephant projects
5.uchumi kuwa imara.

Na yote yamehitimishwa na pale Mheshimiwa Ruth alipolitaka Bunge kujadili sintofahamu hi (hoja binafsi) na baadae kuja na mapendekezo lakini wabunge wa ccm Bila aibu wakaikataa hoja hiyo.

wafanyakazi msipoungana mtanyanyasika kwa miaka kumi Mana hata hao wabunge wa ccm hawaoni haja ya nyie kupewa stahili zenu lakini wapo tayari kutumia mafanikio ya kazi zenu kuombea Kura ili wazidi kula mema ya nchi.
Mei Mosi Ni siku ya kuwatonesha kidonda.
 
Hizo kazi za utumishi wa umma zingekuwa hazina maslahi tugeshaacha.
Kwa vile watazamaji mnaona hela ni ndogo , ila sisi tumo tu: inatutosha, tunaiba, hatujielewi.
Mimi binafsi ni mwizi wa muda wa mwajiri. Ijumaa na Jtatu huwa sifiki, jnne ,jtano na alhamis hufika saa tatu u nusu na kuondoka saa saba u nusu. Na hizo four hours ninazokaa karibia limoja na nusu ni la story na misosi.
Kimsingi hizo 7.5 hours per week zinafaa kwa malipo wanayonipa.

Wakiongeza mshiko nitawafikiria nifike walau 10 hours per week.
 
Hizo kazi za utumishi wa umma zingekuwa hazina maslahi tugeshaacha.
Kwa vile watazamaji mnaona hela ni ndogo , ila sisi tumo tu: inatutosha, tunaiba, hatujielewi.
Mimi binafsi ni mwizi wa muda wa mwajiri. Ijumaa na Jtatu huwa sifiki, jnne ,jtano na alhamis hufika saa tatu u nusu na kuondoka saa saba u nusu. Na hizo four hours ninazokaa karibia limoja na nusu ni la story na misosi.
Kimsingi hizo 7.5 hours per week zinafaa kwa malipo wanayonipa.

Wakiongeza mshiko nitawafikiria nifike walau 10 hours per week.
Mkuu nimeipenda system yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Ni limumba umetumwa kuvuruga
Hizo kazi za utumishi wa umma zingekuwa hazina maslahi tugeshaacha.
Kwa vile watazamaji mnaona hela ni ndogo , ila sisi tumo tu: inatutosha, tunaiba, hatujielewi.
Mimi binafsi ni mwizi wa muda wa mwajiri. Ijumaa na Jtatu huwa sifiki, jnne ,jtano na alhamis hufika saa tatu u nusu na kuondoka saa saba u nusu. Na hizo four hours ninazokaa karibia limoja na nusu ni la story na misosi.
Kimsingi hizo 7.5 hours per week zinafaa kwa malipo wanayonipa.

Wakiongeza mshiko nitawafikiria nifike walau 10 hours per week.
[/QUOni
 
Cha msingi ni watanzania wote wanaoguswa na hali ngumu ya kiuchumi waungane dhidi ya wachache wanaowatumia watoto wa masikini kwa kuwalazimisha kuwagandamiza wengi ili wachache waishi maisha ya peponi.

Watanzania wanyonge waungane dhidi ya wakurugenzi wanaoharibu uchaguzi kwa kuiba kura na Kuwatangaza Wabunge wasiostahili ili walinde maslahi yao.

Ni kundi la walaji limeamua kutumia nguvu kujipatia madaraka na vyeo ili familia zao ziishi vizuri.
Wao hawana shida kabisa lakini wanawaambia wangine fungeni mikanda wakati wao wamelegeza.

Tangu wananchi walipokubali kuwaachia huru wakurugenzi wanaovuruga uchaguzi bila kuwachukulia hatua yeyote zaidi ya kuita vyombo vya habari na kulalamika imekua ndiyo uchochoro wa wabunge wa CCM na watawala kuwadharau Wafanyakazi,wafanyabiashara ,vijana wasio na ajira, wakulima n.k.
Wanawazarau na kuwapuuza kwa sababu hawategemei Kura zao kupata madaraka Bali wanategemea mabunduki ,mabomu na Marungu.

Ndio maana wanaamua kuwafukuza wale wanye vyeti feki lakini kundi lao hawataki lichunguzwe mana wengi wanavyo feki na wengine hawana kabisa hata hivyo feki.

MUNGU PEKEE NDIYE ATAKAYEWAPIGANIA WAPIGA KURA WA NCHI HII KWA KUWAPA MOYO WA KUWAKATAA WALE WASIOFAA NA MADHALIMU NA KUCHAGUA WALE WENYE MOYO WA KUINUA MAISHA YA WANYONGE BADALA YA VITU VISIVYO NA ROHO WALA PUMZI.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua nikifuatilia huko Dodoma kinachoendelea katika Bunge la bajeti na kugundua Mambo kadhaa hasa katika tasnia ya Utumishi wa Umma.

Kwa majibu waliyotoa Mheshimiwa Mkuchika na Yule Mama Mhagama Ni dhahiri kwamba suala la Maslahi ya Watumishi wa Umma Ni hisani ya serikali na chama kwa ujumla na sio kwa misingi ya sheria na kanuni za utumishi na utawala Bora.

serikali ya awamu ya Tano Tangu imeingia madarakani haijawahi hata kujaribu kuongeza Mishahara ya Watumishi wake isipokua imejificha katika kichaka Cha
1. uhakiki
2.tija
3.OPRASS
4.kukamilika kwa elephant projects
5.uchumi kuwa imara.

Na yote yamehitimishwa na pale Mheshimiwa Ruth alipolitaka Bunge kujadili sintofahamu hi (hoja binafsi) na baadae kuja na mapendekezo lakini wabunge wa ccm Bila aibu wakaikataa hoja hiyo.

wafanyakazi msipoungana mtanyanyasika kwa miaka kumi Mana hata hao wabunge wa ccm hawaoni haja ya nyie kupewa stahili zenu lakini wapo tayari kutumia mafanikio ya kazi zenu kuombea Kura ili wazidi kula mema ya nchi.
Mei Mosi Ni siku ya kuwatonesha kidonda.
Mkuu,uhalisia ni kuwa Mpaka sasa hakuna ajuaye kama Mshahara utapandishwa au lah! Hii yote ni kwavile wote wanasaidiwa Kuwaza na Jiwe! Na Mpaka hapa wanatembea na Kauli ya Jiwe ya Mwaka Jana Iringa Mei Mosi.
Hii ndiyo athari ya Kuongozwa na Dikteta lazima maamzi yatoka kwa Mmoja hiyo hiyo. Wote Viongozi wapo maofisini kama Misukule.
Ili kulithibisha hili, Subiri Maamzi ya Jiwe Mei Mosi mwaka huu! Akisema atapandisha mshahara utaona Kila mtu anavyoikana kauli take! Kama ulimsikiliza Vizuri Mkuchika utakuwa umenote Kitu. 'Pesa ikiwepo ni Kuchagua ni Ifanyie nini'!

Ila haijapata Kutokea katika Awamu zote Nne zilizopita Rais mwenye Chuki na Watumishi wa Umma kama Jiwe! Mungu asaidie tu alitakalo na Lifanyike!
 
Mkuu,uhalisia ni kuwa Mpaka sasa hakuna ajuaye kama Mshahara utapandishwa au lah! Hii yote ni kwavile wote wanasaidiwa Kuwaza na Jiwe! Na Mpaka Jiwkuwa wanatembea na Kauli ya Jiwe ya Mwaka Jana Iringa Mei Mosi.
Hii ndiyo athari ya Kuongozwa na Dikteta lazima maamzi yatoka kwa Mmoja hiyo hiyo. Wote Viongozi wapo maofisini kama Misukule.
Ili kulithibisha hili, Subiri Maamzi ya Jiwe Mei Mosi mwaka huu! Akisema atapandisha mshahara utaona Kila mtu anavyoikana kauli take! Kama ulimsikiliza Vizuri Mkuchika utakuwa umenote Kitu. 'Pesa ikiwepo ni Kuchagua ni Ifanyie nini'!

Ila haijapata Kutokea katika Awamu zote Nne zilizopita Rais mwenye Chuki na Watumishi wa Umma kama Jiwe! Mungu asaidie tu alitakalo na Lifanyike!

Inauma sana, angekuwa anapandisha angalau elfu thelathini kwa mwaka, kwa miaka minne yake Sasa hivi kungekuwa na ongezeko la Tsh. 120,000 ukichanganya na kupanda daraja katika kipindi hiko mtumishi angekuwa na ongezeko la kukadiria Tsh. 250,000 ambalo unakopea benki Tsh. 20,000,000 milioni kisha unafanya jambo lako kimaendeleo.
Kilichobaki ni kumtangaza Jiwe ni adui namba one wa maendeleo na ustawi wa watumishi wa umma
 
Inauma sana, angekuwa anapandisha angalau elfu thelathini kwa mwaka, kwa miaka minne yake Sasa hivi kungekuwa na ongezeko la Tsh. 120,000 ukichanganya na kupanda daraja katika kipindi hiko mtumishi angekuwa na ongezeko la kukadiria Tsh. 250,000 ambalo unakopea benki Tsh. 20,000,000 milioni kisha unafanya jambo lako kimaendeleo.
Kilichobaki ni kumtangaza Jiwe ni adui namba one wa maendeleo na ustawi wa watumishi wa umma
Huyu Mtu ana Chuki Kweli kweli na Watumishi hili wali hakijafichama popote! Mwanzo kabisa wa Kampeni aliwahi sema Watumishi wa Umma ni Wezi na atawanyoosha, ndiyo anatekeleza sasa!
 
Hakuna marefu yasioyo na ncha
Inaweza kuonekana kwamba Watanzania ni MAJUHA, hawajali, na inaonekana Magufuli na serikali yake wameshazoea kila wafanyalo hawaoni kupingwa, ndio wanazidi kufanya mabaya zaidi.

Ila kuna msemo unasema kwamba HUWEZI KUWADANGANYA WATU WOTE KWA WAKATI WOTE. Ipo siku itafika, idadi kubwa zaidi ya Watanzania wataamka. mpaka hivi sasa kuna wale ambao walikuwa wanamuunga mkono jiwe, sasa wameelewa kwamba huyu jamaa hafai. ila bado kuna idadi kubwa wanaohadaika na hii miradi ya miundombinu. ipo siku nao watatambua kwamba tumeuziwa mbuzi kwenye gunia. hapo ndipo patachimbika. Inaonekana kama vile ni ndoto za alinacha, lakini Tanzania tayari imeondoka kuwa nchi ya AMANI NA UTULIVU, sasa ni nchi ya watu wasioridhishwa na hali ya mambo. Angalia tu suala la CAG. watanzania wengi wako nyuma yake.
 
Kupanga ni kuchagua. Mimi nasimama upande wa kutoongeza mshahara.

Asilimia kubwa ya watumishi wa umma ni business as usual, hakuna kujituma, hakuna ubunifu. Wezi, wanafiki. Kazi kuwasema wachache wansojituma.

Hakuna lolote serikali au jamii imewahi kufaidi katika kuongezea watumishi salary.

Kikwete kaongeza sana, hazijawahi kutosha. Na hatujawahi kubadilika tukawa watenda kazi kwa ujumla wetu. Ni kulalama tu, na kutaka zaidi na zaidi.

Above all , sisi watumishi wa umma ndio tunaoongoza kujipendekeza kifala fala kwa viongozi wa kisiasa na kudhulumu haki za wengine acha tu tukome.

Bora tu tujenge miundo mbinu tufaidi wote kuliko kuongeza mishahara maziro brain. Kwa hili nasimama upande wa mkuu sana.

Upande daraja kwa lipi la msingi hasa ulilofanya?. Ubunifu F, kuwahi X, kujituma Y, kupendana Z, majungu A, Wizi A.

Ningekuwa namshauri jamaa ningeleta perfamance based ajira/ salary. Hufikii malengo tunakumwaga. Hakuna ajira ya kudumu.

Na wanawajua kuwa hamko fit ndio maana hawaongezi, mtaenda wapi wakati hamjui chochote? Wezi weziiiiiii!.
 
Kupanga ni kuchagua. Mimi nasimama upande wa kutoongeza mshahara.

Asilimia kubwa ya watumishi wa umma ni business as usual, hakuna kujituma, hakuna ubunifu. Wezi, wanafiki. Kazi kuwasema wachache wansojituma.

Hakuna lolote serikali au jamii imewahi kufaidi katika kuongezea watumishi salary.

Kikwete kaongeza sana, hazijawahi kutosha. Na hatujawahi kubadilika tukawa watenda kazi kwa ujumla wetu. Ni kulalama tu, na kutaka zaidi na zaidi.

Above all , sisi watumishi wa umma ndio tunaoongoza kujipendekeza kifala fala kwa viongozi wa kisiasa na kudhulumu haki za wengine acha tu tukome.

Bora tu tujenge miundo mbinu tufaidi wote kuliko kuongeza mishahara maziro brain. Kwa hili nasimama upande wa mkuu sana.

Upande daraja kwa lipi la msingi hasa ulilofanya?. Ubunifu F, kuwahi X, kujituma Y, kupendana Z, majungu A, Wizi A.

Ningekuwa namshauri jamaa ningeleta perfamance based ajira/ salary. Hufikii malengo tunakumwaga. Hakuna ajira ya kudumu.

Na wanawajua kuwa hamko fit ndio maana hawaongezi, mtaenda wapi wakati hamjui chochote? Wezi weziiiiiii!.
kwa hiyo hufurahii daktari aongezew ili akutibu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom