Tundu Lissu asimamishiwa mshahara na marupurupu yake

Hayawi hayawi sasa yamekuwa baada ya mbunge wa singida mashariki mh Tundu Lissu leo hii kufutiwa mshahara wake rasmi na bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania wakidai bunge halina taarifa alipo mbunge Lissu.hayo yamesemwa na katibu wa bunge .
FB_IMG_1552417092771.jpeg


In God we trust
 
Hii Serikali ya kiuaji kabisa. Na hawa viongozi walaaniwe kabisa. Huyo Speaker namuombea ARV zidunde kabisa. Sasa najiuliza Lissu akirudi watamlipa hata hii miezi waliosimamisha malipo? Any way acha wamtunzie. Maana akirudi itabidi wamlipe malimbikizo yote.
 
Hii Serikali ya kiuaji kabisa. Na hawa viongozi walaaniwe kabisa. Huyo Speaker namuombea ARV zidunde kabisa. Sasa najiuliza Lissu akirudi watamlipa hata hii miezi waliosimamisha malipo? Any way acha wamtunzie. Maana akirudi itabidi wamlipe malimbikizo yote.
Tunaomba ziwe za kweli ili wale 6m waliompigia Lowasa kura tufanye harambee ya tsh500tu zinatosha kuhudumia lile gari na watu wake 20 kwa mwaka mzima
 
Back
Top Bottom