Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,039
- 3,879
Wee jama nikilaza aisee sasa unataka ushauri gani kashakwambia akutaki au unataka hadi upate ukimwi ndyo umuache demu mwenyewe alikutongoza alafu unalialia be a man mademu wazuri na waliotulia ni wengi sana chukua ata uyo rafiki yako umgonge then upotezee mbna wanaume sikuizi tumekuwa maboya sana jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app