Recent content by Stoneboy

  1. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Walokole kweli hii mistari huwa mnaisoma....au kudonoa donoa bibilia

    Uombe kwa sauti ama kimya kimya yote sawa , ila kuna maombi ya kukemea lazima utoe sauti
  2. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Kula utumbo kama ni kitu imenishinda

    Hujapata muandaaji mzuri tu
  3. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania UZURI MBINGUNI HAKUNA MPIRA NA MPIRA NI DHAMBI

    Amina 🙏 🙏 🙏
  4. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania "Makomandoo" watwangana makonde na Walinzi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kabla ya TRA Vs Simba, Aprili 9, 2026

    Itakua kamati za ufundi zilioteana gape
  5. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Soon Iko suprise itayomaliza huu ujinga unaondelea

    Mpaka ushasema hapa ushatia ndimu mpango tayari ungeleta uzi mshawini hata nusu mchoro, yani unaleta ramani nzima harafu bado ni mpango. Mkuu
  6. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mahitaji ya nyakati, harakati za Gen Z vimewafubaza wasanii

    Nashukuru Mungu nina mwaka sasa bila simba, yani hata game siangalii nina muda sana kiukweli mpira nao ulizima mambo mengi muhimu, uchawa uchawa mwingi serikali imejifichia huko.
  7. Stoneboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake na wanaume wazoefu tujuzane

    Ina miezi mingapi mkuu, pia watalamu wanasema mimba huja na hali tofauti kwa wanawake wengine kuugua moja kwa moja hakupumzishi mpaka ajifungue, hivyo kwa lugha rahisi mvumilie nawewe ndiye tiba yake ukikwazika akajitambua we ni kero kwake utamhatalisha afya yake na mtoto.
  8. Stoneboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake na wanaume wazoefu tujuzane

    Hao wanabembelezwa na mswaki ukitoa povu zito jeupe mdomoni mwake zito atapona kulia lia, maana akitaka kulia tena atahofu kupiga mswaki tena
  9. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa serikali

    Mbona zanzibar hazijaongezwa bidhaa na wanatibiwa bure, huku tumekwamia wapi?
  10. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Waambieni wasemaji wa Simba na Yanga watafute kazi za kufanya mpira wa bongo baada ya MO29 unaenda ahera

    Ngoja nikae pembeni nikiwasubiri wafia ball
  11. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Picha mbalimbali za Sheikh , Ibrahim Bakonzi

    Shekhe anainua nondo,, kweli wamchongo kabisa
  12. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Hawa First year mnaowapokea Kwa utaratibu maalumu wametokea mtaani huko.

    Ndugu una hasira mpaka unakosea kuandika, kiufupi tu hali siyo shwari kinawaka popote hata wasipotarajia, wakae kwa kutulia
  13. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wafuatao ni mbuzi wa kafara. Soon mtasikia!.

    Kweli niko nje ya muda nimefatilia uzi wote, lakini sijafungua code bado 😢
  14. Stoneboy

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kuiunga mkono CHADEMA sababu ya misimamo thabiti ya Heche na Lissu

    Mwanzo ulikuwa wapi au aibu, zinawashika.
Back
Top Bottom