Nashukuru Mungu nina mwaka sasa bila simba, yani hata game siangalii nina muda sana kiukweli mpira nao ulizima mambo mengi muhimu, uchawa uchawa mwingi serikali imejifichia huko.
Ina miezi mingapi mkuu, pia watalamu wanasema mimba huja na hali tofauti kwa wanawake wengine kuugua moja kwa moja hakupumzishi mpaka ajifungue, hivyo kwa lugha rahisi mvumilie nawewe ndiye tiba yake ukikwazika akajitambua we ni kero kwake utamhatalisha afya yake na mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.