secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,167
- 28,200
Natumai mambo yatakaa poa, yawezekana hajawahi kuwa na mimbaDah na kwazika sana
Natumai mambo yatakaa poa, yawezekana hajawahi kuwa na mimbaDah na kwazika sana
Ndio awe ana nitesa mimi? Mda wote pole mamy ni. Kubembelezana tuuNatumai mambo yatakaa poa, yawezekana hajawahi kuwa na mimba
Take care bro, be bold. Usikubali kufuata njia zake yeye ndo anatakiwa afuate njia zako tatizo ni kuwa wanawake wanaamua zaidi kwa hisia kuliko akili na wanaume wanaamua zaidi kwa akili kuliko hisia kwahiyo hapo automatic utaona nani anatakiwa ashike usukani otherwise you will breath DUST!!!Kesho nitalifanyia kazi
Haitotokea ni sababu ya mimba tuTake care bro, be bold. Usikubali kufuata njia zake yeye ndo anatakiwa afuate njia zako tatizo ni kuwa wanawake wanaamua zaidi kwa hisia kuliko akili na wanaume wanaamua zaidi kwa akili kuliko hisia kwahiyo hapo automatic utaona nani anatakiwa ashike usukani otherwise you will breath DUST!!!
Mkuu lazima uvumilie vitu kama hivyo kwani kilichopo tumboni mweke ni kijusi ulichompachika.Ndio awe ana nitesa mimi? Mda wote pole mamy ni. Kubembelezana tuu
Baba yake marehemu ume muona mbape uko kashafunga 3Kamsemee kwa babaake
NimechokMkuu lazima uvumilie vitu kama hivyo kwani kilichopo tumboni mweke ni kijusi ulichompachika.
Oya jichunguze au mwambie huyo binti anakuchezea akili shtuka.. mwenye mimba halilii ovyoovyoLabda maana usipo pokea simu nikipiga akipokea naanza na samahana pleas nyingi mm nafanya ivyo sitak aangue kilio matokeo yake ana lia mnaanza kubembelezana mpaka kuna mda aongei nashikwa na hasira natamani kumpasua pasua najuta mimi
Bc kamsemee hata kwa mjomba wake, anajiendekeza huyo 😂Baba yake marehemu ume muona mbape uko kashafunga 3
Mimi pia nime shangaa kitu kidogo kaangua kilio mpaka napata ulakiniOya jichunguze au mwambie huyo binti anakuchezea akili shtuka.. mwenye mimba halilii ovyoovyo
Kwani ana gusika sasaiv ana sema DR kamwambia apumzike sanaHao wanabembelezwa na mswaki ukitoa povu zito jeupe mdomoni mwake zito atapona kulia lia, maana akitaka kulia tena atahofu kupiga mswaki tena
Sasa mjomba ake kasema ni wewe ndio nimekushtakia hapa chukua maamuzi nimekonda kijana wa watuBc kamsemee hata kwa mjomba wake, anajiendekeza huyo 😂
Mimi nimekaa na wanawake wenye mimba mpaka wanaenda kujifungua wakiambatana na shangazi zao.. mwanamke mwenye mimba halii ovyo huyo anakuchezea picha la kihindi shtuka.. ukimchekecha unaambiwa mimba sio yako shtukaMimi pia nime shangaa kitu kidogo kaangua kilio mpaka napata ulakini
Leo nimekwazika mpaka nime mpuuzia na nime apa sito mtafuta tena na hivi tupo nkoa kwa mkoaMimi nimekaa na wanawake wenye mimba mpaka wanaenda kujifungua wakiambatana na shangazi zao.. mwanamke mwenye mimba halii ovyo huyo anakuchezea picha la kihindi shtuka.. ukimchekecha unaambiwa mimba sio yako shtuka
Muache binti yangu arudi kwa aliyempa mimba mana aliniambia ww huwez kumpa mwanamke mimba 😎Sasa mjomba ake kasema ni wewe ndio nimekushtakia hapa chukua maamuzi nimekonda kijana wa watu
Uhuni wake tu shida ana gawa sana mpaka hamjui muhusika 😄Muache binti yangu arudi kwa aliyempa mimba mana aliniambia ww huwez kumpa mwanamke mimba 😎
Unataka jamaa ashushiwe kipondo heavy? Unaweza kukuta aliyempachika mimba ni kitoto Cha form two C.Kamsemee kwa babaake
Ina miezi mingapi mkuu, pia watalamu wanasema mimba huja na hali tofauti kwa wanawake wengine kuugua moja kwa moja hakupumzishi mpaka ajifungue, hivyo kwa lugha rahisi mvumilie nawewe ndiye tiba yake ukikwazika akajitambua we ni kero kwake utamhatalisha afya yake na mtoto.Kwani ana gusika sasaiv ana sema DR kamwambia apumzike sana