Recent content by Sting007

  1. S

    Ushauri kuhusu huyu mwanamke

    Mwanamke hata kama umeoa, bado atatongozwa tu.
  2. S

    Sema ukweli tu hivi usha - sex na wanaume/ wanawake wangapi

    Nakaribia kujaza Zongtong ya pili..
  3. S

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Kompyuta yangu ni HP Probook 450 G3 na processor yake ni core i7-6500U hii itakuwa katika kundi lipi.?
  4. S

    Natamani kupenda tena

    Usijali... utampata umpendae, uutulize moyo wako.
  5. S

    Wavivu ni wengi dunia hii

    du, hata mimi nipo kati ya hao. Ni hatari....
  6. S

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Admin naomba mniadd kweny grp la FTA kwa namba 0767674646
  7. S

    Msaada tafadhali, Nlipata tatizo la kisonono tangu mwaka jana

    pole sana ndugu, ona umuhimu wa kwenda hospitali nzuri, kwa ugonjwa huo, usione gharama kama ni tatizo, jali afya yako.
  8. S

    Msaada wa haraka: Utapeli unataka kufanyika kwa dada yangu huyu

    anayetanguliza hela kabla ya kazi kufanyika, huyo anawezekana asiwe mwaminifu. Kunauwezekano mkubwa, dada yako anaenda kutapeliwa.
  9. S

    Ndani ya siku 20 tu, Mabasi 34 ya DART, yashapata ajali

    wasipoweka taratibu za ziada yatakwisha yote...
  10. S

    Hapa ndo ninaposhindwa kumuelewa mwanamke

    Wanaishi kwa hisia finyu..... Ndo maana wanadaganyika haraka.
  11. S

    Ahmed Shabiby, Vedasto Mathayo matatani kwa uchakachuaji wa mafuta

    sijawahi kuona Shabiby anajaza mafuta mabasi yake katika kituo kile cha Makole, yawezekana ikawa kweli.
  12. S

    Ushauri tafadhali ; Rav 4 vs Pajero io vs Suzuki Escudo v6 vs Suzuki Escudo Vitara .

    rav4 iko poa, ila huwa inatengeneza tege tairi za nyuma.
  13. S

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    ni ADD please kwa group la FTA 0767674646
  14. S

    Wanawake na mapenzi yao kwa wagizaji tamthilia

    huyo mke ni tatizo kwa kweli....
  15. S

    Nawaza tu.....!

    ni kweli, pole....
Back
Top Bottom