Mr Alola
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 473
- 675
Wasaalam wakuu,?
Nina dada yangu ambaye ni married na pia amemaliza batchelor yake ya procurement chuo kimoja hapa bongo 3 years ago, pasipo kupata kazi. Amefanya attemp nyingi na hadi muda mwingine kuitwa sana kwenye interview lakini wapi hamna kitu.
Miezi miwili au mitatu NMB walitangaza nafasi za kazi na akajitokeza jamaa ambaye alijitambulisha kama HR {ni kweli alikuwa akifanya kazi hapo NMB} ambaye alihitaji laki 3 amfanyie mpango mwisho wa siku promise nyingi bila kuitwa.
Sasa juzijuzi kuna dada mmoja ambaye alimpigia simu na kudai alikuwa akiishi nae jirani, akimuomba amtumie vyeti vyake ambavyo vipo certified amtumie kwenye email yake then afanye connection katika shirika flani la wazungu ambao wana project ya mwaka mzima hapa bongo katika mikoa tofauti, pia alimsisitiza sana kuwa wahasibu na watu wa mauzo watapatanafasi nzuri zaidi kwani watakuwa wanalipwa dola 100 kwa siku katika semina.
Nilichojiuliza;
1. Kuna mzungu au kampuni gani ikulipe usd 100 per day kwa usawa huu?
2. Baada ya kutuma vyeti Ameambiwa vyeti vyake vimepita bila pingamizi hivyo ajiandae kwa semina ambayo anahitaji atume laki 1.?
3.Kama kuna mtu hapa JF kashawahi kuisikia hiyo kampuni ya wazungu sth AGAPE? na project yao anifahamishe. Maana wanadai wanaanza semina project mwisho huu wa mwezi IRINGA
4.Mwisho tumemsisitiza sana dada yetu huyu KUWA HAWA WATAKUWA MATAPELI lakini kwa shauku ya kupata ajira akili yake imeshakuwa attacked.
Kwa aliyefanyiwa mchezo huu atoe ushuhuda tumuokoe huyu dada maana atashikwa na magonjwa yasiyo na dawa
OGOPA TAPELI.
Jumapili njema.
Nina dada yangu ambaye ni married na pia amemaliza batchelor yake ya procurement chuo kimoja hapa bongo 3 years ago, pasipo kupata kazi. Amefanya attemp nyingi na hadi muda mwingine kuitwa sana kwenye interview lakini wapi hamna kitu.
Miezi miwili au mitatu NMB walitangaza nafasi za kazi na akajitokeza jamaa ambaye alijitambulisha kama HR {ni kweli alikuwa akifanya kazi hapo NMB} ambaye alihitaji laki 3 amfanyie mpango mwisho wa siku promise nyingi bila kuitwa.
Sasa juzijuzi kuna dada mmoja ambaye alimpigia simu na kudai alikuwa akiishi nae jirani, akimuomba amtumie vyeti vyake ambavyo vipo certified amtumie kwenye email yake then afanye connection katika shirika flani la wazungu ambao wana project ya mwaka mzima hapa bongo katika mikoa tofauti, pia alimsisitiza sana kuwa wahasibu na watu wa mauzo watapatanafasi nzuri zaidi kwani watakuwa wanalipwa dola 100 kwa siku katika semina.
Nilichojiuliza;
1. Kuna mzungu au kampuni gani ikulipe usd 100 per day kwa usawa huu?
2. Baada ya kutuma vyeti Ameambiwa vyeti vyake vimepita bila pingamizi hivyo ajiandae kwa semina ambayo anahitaji atume laki 1.?
3.Kama kuna mtu hapa JF kashawahi kuisikia hiyo kampuni ya wazungu sth AGAPE? na project yao anifahamishe. Maana wanadai wanaanza semina project mwisho huu wa mwezi IRINGA
4.Mwisho tumemsisitiza sana dada yetu huyu KUWA HAWA WATAKUWA MATAPELI lakini kwa shauku ya kupata ajira akili yake imeshakuwa attacked.
Kwa aliyefanyiwa mchezo huu atoe ushuhuda tumuokoe huyu dada maana atashikwa na magonjwa yasiyo na dawa
OGOPA TAPELI.
Jumapili njema.